safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Sio kweli mkuu kutokana na ushahidi wangu mimi mwenyewe ambaye nilikuwa siwakubali waalimu wanaochapa fimbo.Nature ya kimazingira na saikolojia ya wanafunzi Huwa hawawapend walimu wapole
Nilikuwa nawakubali waalimu ambao hawachapi fimbo na ni wapole na mimi nilikuwa mwanafunzi.
Hivyo hoja yako naitupilia mbali kwa sababu haina uhalisia wowote mkuu