SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hadithi za SukununuDear Readers especially hawa wanaume,
Hamjamboo,kuna kisa kimoja kimeniumiza sana. Hiki kisa nikiko hivi.
Waliingia majambazi wakataka kumuua jamaa . Ila mke wake alijitoa kwa majambazi . Na majambazi wakakubaliana mmoja wao. Alale na mwanamke wa jamaa.
So mchizi akaambiwa na majambazi hao aangalie mkewe akiwa mapenzini na jamaa .
Baada ya kumaliza haja zake . Wakaondoka na hawakuchukua lolote. Natokea hapo jamaa akamwambia mkewe waachane hata kama alimuokoa kwa staili hiyo yeye hawezi
sasa ingekuwa wewe ungefanyaje??
Nanimke wa ndoa
SukununuHadithi za Sukununu
ukifa ukiwa unatetea familia yako ni jihad , so ningejitahidi angalau niondoke na mmoja .Dear Readers especially hawa wanaume,
Hamjamboo,kuna kisa kimoja kimeniumiza sana. Hiki kisa nikiko hivi.
Waliingia majambazi wakataka kumuua jamaa . Ila mke wake alijitoa kwa majambazi . Na majambazi wakakubaliana mmoja wao. Alale na mwanamke wa jamaa.
So mchizi akaambiwa na majambazi hao aangalie mkewe akiwa mapenzini na jamaa .
Baada ya kumaliza haja zake . Wakaondoka na hawakuchukua lolote. Natokea hapo jamaa akamwambia mkewe waachane hata kama alimuokoa kwa staili hiyo yeye hawezi
sasa ingekuwa wewe ungefanyaje??
Nanimke wa ndoa
NmechekaPeleka facebook.