Habari wakuu,yapata wik 2 sasa nimekua nikitokewa na hali ya uume kusimama kwa more than 2-3 hours bila kurejea katika hali yake hasa kuanzia saa10 usiku mpaka sa moja, JE tatizo yaweza kua nini na nini nifanye,msaada zaidi😕
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.