#COVID19 UNICEF: Watoto wapewe taarifa sahihi kuhusu chanjo ya COVID-19

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani (UNICEF) linasema ni vyema watu wazima wakawa na taarifa sahihi kabla ya kuzungumza kuhusu chanjo ya COVID-19 na watoto

Inashauriwa pia kusikiliza maoni na mitazamo yao na kuzingatia hofu zao

Ni vema wakaona wapo huru kueleza mitazamo yao kwa watu wazima wanaowaamini katika jamii

----------

Before talking to your children about COVID-19 vaccines, it is important that you understand them yourself.

Invite your child to share what they have heard about COVID-19 vaccines and listen to their responses. It is important to be fully engaged and take any fears they have seriously. Be patient, the pandemic and misinformation has caused a lot of worry and uncertainty for everyone. Let them know that they can always talk to you or another trusted adult (such as a teacher) about their concerns.

Remember, if you don’t know the answer, don’t guess. Use it as an opportunity to explore the answers together. Websites of international organizations like UNICEF and the World Health Organization are great sources of information. If you have an older child, they can learn more and get involved on Voices of Youth, a global community of young people.


Chanzo: UNICEF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…