Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Shida ipo kwenye kichwa chako.Shida ipo wapi? Au hapo ikwiriri wanavaaje?
Kuna jeshi na kuna polisi wa aina mingi hapa kenyaNajua wanavaa blue lakini kwenye matukio mengi hasa hata ya kutangazwa kwa mshindi wa Urais wa Kenya hapo Bomas, naona askari wengi wamevaa kimbati za jeshi. Je nayo ni sehemu ya uniform za jeshi la polisi kenya?
Achana na huyo mleta madaKuna jeshi na kuna polisi wa aina mingi hapa kenya
Zinakuhusu nn ww?
Shukranikimbati kwa juu ni sehemu ya uniform za polisi wa kenya,lakini chini huvaa green kama wa kwetu tanzania.hao ni GSU ni kama FFU Tanzania.
wale wengine huvaa blue ambao ni sawa na wanaovaa khaki huku tanzania.
Kwani kuna tatizo gani mtu ameomba kueleweshwa? Mbona watu mnajitia ujuaji wa kila kitu,kama wewe huwezi kumwelewesha acha wengine watajibu swali lake.[emoji23][emoji23][emoji23] sasa polisi ya kenya wavae hata kanzu ww unapata shida gani labda
Na huyu mwenye rangi ya kaki ni jeshi gani?kimbati kwa juu ni sehemu ya uniform za polisi wa kenya,lakini chini huvaa green kama wa kwetu tanzania.hao ni GSU ni kama FFU Tanzania.
wale wengine huvaa blue ambao ni sawa na wanaovaa khaki huku tanzania.
Wale hawaibi mikate supamaketiWale polisi wanaovaa nguo ya kijeshi (kijani) wametoka GSU. Wote ni polisi lakini GSU kazi yao ni extra security, more advanced. Wale ni para military police. Kazi yao ni kuzima moto wowote ule.
wale huitwa fanya fujo uone (FFU), na wana roho ya unyama na hawajalishi kama wewe ni mtoto, jibwa, mzee ama majaamzito wao watakuadhibu vilivyo.
Ole wako mkipatana na wao wrong place wrong time. Utatiii!!
ππ
Sio askari. Ni chiefNa huyu mwenye rangi ya kaki ni jeshi gani?
Huyo ni county commissioner. Kama mkuu wa mkoa kwa hukuNa huyu mwenye rangi ya kaki ni jeshi gani?
Hehe huyo si Chief. Huyo ni CC. County CommissionerSio askari. Ni chief
Kikatiba, Kenya inatambua askari wa Nation Police Service (NPS). Sasa NPS imegawanywa mara mbili:Najua wanavaa blue lakini kwenye matukio mengi hasa hata ya kutangazwa kwa mshindi wa Urais wa Kenya hapo Bomas, naona askari wengi wamevaa kimbati za jeshi. Je nayo ni sehemu ya uniform za jeshi la polisi kenya?