mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saw SawaWaliishi Japan wakati dingi yao akiwa idhaa ya ya kishwahili Radio Japan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini nyimbo za zamani nazijua jua
Bhasi ulichelewa kuanza kufuatilia bongo flavour. Ndio ilikuwa destiny child ya bongoYani hata sizifahamu hizo nyimbo
Ulikuwa bado hujazaliwa we mjukuuYani hata sizifahamu hizo nyimbo
Kumbe wewe dogo sana aisee [emoji38], au mimi ndo mzee sanaWaliimba nyimbo gani miaka hiyo?
Nyimbo hazina uzee, am at my early 20's na ninawafahamu
😂😂😂 kwani ni mwaka gani walikuwa wanahit mai dia babu?Ulikuwa bado hujazaliwa we mjukuu
muziki wa kwetuUnique sisters - Baishoo, Sababu Gani. Nliwapenda sana hao wadafada. Kuna wadada wengine nao wamekimbia game kama Josephine alieshirikishwa na soggy kibanda cha simu na RENEE RAMIRA alieimba "ngoma ya kwetu". Muziki wa Tanzania hauko fair kabisa kwa wadada.
Nipatie hilo Pini Mkuu nalitafuta sana bila mafanikio...Ilo Pini alichana na Hashim Dogo.Kuna mwanamke ananipa kiwewe/ yaani mchana akikosa usiku najihukumu mwenyewe/ sumu asipewe na mwanaume mwingine anatema/ kwa kweli naona ni vyema kuweka nanga mapema
Hukuwa umezaliwa mamii [emoji1]Eti mzee sana[emoji28][emoji28]
Hao wadada hapo na nyimbo zao nilizotajiwa sijawahi kuzisikia wala kuona...sijui nimepitwaje nao