Unique Dadaz: Wako wapi hawa wanamuziki?

Kuna mwanamke ananipa kiwewe/ yaani mchana akikosa usiku najihukumu mwenyewe/ sumu asipewe na mwanaume mwingine anatema/ kwa kweli naona ni vyema kuweka nanga mapema
 
muziki wa kwetu
 
Kuna mwanamke ananipa kiwewe/ yaani mchana akikosa usiku najihukumu mwenyewe/ sumu asipewe na mwanaume mwingine anatema/ kwa kweli naona ni vyema kuweka nanga mapema
Nipatie hilo Pini Mkuu nalitafuta sana bila mafanikio...Ilo Pini alichana na Hashim Dogo.

Bounce Usiku bado Mchanga mbalamwezi inawaka Bounce....Alichana na MAC D.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…