Unique Dadaz: Wako wapi hawa wanamuziki?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwani ni mwaka gani walikuwa wanahit mai dia babu?
Hahahaha bahati mbaya hata mimi siwajui mjukuu mpenzi. Lakini nilikuwa nimeshazaliwa naamini
 
Hahahaha bahati mbaya hata mimi siwajui mjukuu mpenzi. Lakini nilikuwa nimeshazaliwa naamini
We najua mziki sio mambo yako,unapenda vitu vingine vingine tu. Hata mie lazima nilikua nimezaliwa hapo
 
We najua mziki sio mambo yako,unapenda vitu vingine vingine tu
Hata mie lazima nilikua nimezaliwa hapo
Ewaaa niache kugonga K Vant na papuchi eti niko bize nafuatilia Unique Sisters. Unique Sisters naowajua mimi ni hawa mabinti zangu sita japo kila mmoja ana mama yake. Potelea mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…