Wakuu jaribu kutembelea hii site then tuma maombi yako maaaana uwezikujua bahati yako na mwisho ndugu zanguni ukifanikiwa nijulishe mkuu ili niongeze bidii kwa ndugu zetu waliobaki siyo tuwe tunaona majirani zetu tuu katika hichi chombo kwani nawewe unaweza asanteni kwa hilo!!:coffee::ranger::A S 100:
Hapana usiwatishe wenye nia sehemu zote zenye high risk alert watu wanafanya kazi chini ya remote control nikiwa namaana security husika inakuwakila mara inatoa mwongozo wakazi ndiyo maana wafanyakazi wa UN usikii wameuwawa kwanza wanakaa kambini!hakunakutembea bila sababu yamsingi!!kilakitu kipo katika kompaund sasa hatari yake nini??ila watu wanaelewa tofauti wakidhani watapigwa mabomu and etc??