Akili mgando watakuwa wametoweka ndugu..
It sound like shit hole voice....!2050 comment kama hizi mgando hazitakuwepo kabisa.
Sijakusoma mzee, unamaanisha nini?It sound like shit hole voice....!
Hahahahahah..., upinzani upi mzee?Upinzani tanzania walivyoungana mwaka huu japo wengine wanekuwa kikwazo naanza kuamini amini kidogo unachokisema.
WEWE NA KIZAZI CHAKO CHOTE MMELAANIWA NA MWENYE ENZI MUNGU WALAHI NAKUAPIAmay be UNITED STATES OF ANIMALS,KWA MAANA NYERERE ALISEMA BAADAYE AFRICA ITAKUWA SERENGETI MOJA KUUUBWA(PAMOJA NA WATU WAKE),WAZUNGU HAWATAWADHURU MAANA WATAKUUA WAMEWADHOOFISHA SANA,WAAFRIKA WATAKUWA KAMA AU NI SEHEMU YA HIFADHI TA DUNIA
Binafsi naamini kabisa inawezekana kwa 100% km tutakuwa na nia ya dhati ya kuungana na kuwa taifa moja...
Ila kuna wenzetu miongoni mwetu tutawaona,weusi km sisi ila mioyoni ni wazungu, na hawa ndyo wasaliti
Watu km wacongo mi siwaamini kbsa, mnaweza kupanga nao mipango jioni wakapeleka taarifa kwa mabwana zao france na ubelgiji
Hakuna kitu kinacho mshinda binadamu wakati wake ukifika walahi
YOTE YANAWEZEKANA WALAHI
Wakongo usaliti upo kwenye damu.Hiyo mijamaa itakuwa imesha fyeeekelewa mbali walahi
Mkuu maono yako ni ya kuitakia mema Afrika, lakini kwa hali ninayoiona..hata ifike mwaka wa 3000 hiki kizazi hakitabadilika. Magufuli ameongea vyema lakini ona anavyopondwa na watu wake mwenyewe.Hatimae Rais Magufuli ameanza kunielewa
Hizi akili mgando tutaziondoa taratibu but surely, JPM sio mtu wa kawaida, japo ana mapungufu yake kama binadamu ila ni mtu wa aina yake...Mkuu maono yako ni ya kuitakia mema Afrika, lakini kwa hali ninayoiona..hata ifike mwaka wa 3000 hiki kizazi hakitabadilika. Magufuli ameongea vyema lakini ona anavyopondwa na watu wake mwenyewe.
Mifano iko mingi inayoonyesha Waafrika ni kizazi kizembe ambacho hakiko tayari kubadilika.