FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #81
Vurugu Afrika Kusini: Vifo vyaripotiwa mgomo wa madereva wa malori
Rejea bandiko langu la siku kadhaa zilizopita lenye kichwa cha habari “Tahadhari kwa madereva malori waendao Afrika kusini”, kituo cha habari cha ITV kimeripoti vurugu kubwa ambazo zimeshababisha vifo vya watu wanne ndugu zangu wa magari ya masafa tuchukue tahadhari kwani nchi zingine...