United States of Africa (USA)

United States of Africa (USA)

Hizi tunaziita Porojo na kujifurahisha
kwa sasa hakuna hilo
 
Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania
Serikali imewaonya baadhi ya wakimbizi wa kisomali waliopewa uraia nchini kuacha kupandikiza mbegu za ugaidi kwa watanzania na badala yake wanapaswa kuheshimu sheria na taratibu zilizowekwa ili kuendelea kudumisha hali ya amani na utulivu iliyosababisha mamlaka husika kuwapatia uraia wa kuishi nchini.
Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania | East Africa Television
Hii sijaipenda
Ila basi bwana
hawa watu hawa!![emoji41]
 
Hiyo itakuwa ni mipango ya kuvuruga amani kwenye nchi zenye utulivu. Kwanza hakuna kinachoweza kuiunganisha Afrika, hivyo ni jambo lisilowezekana kamwe.
Hao malofa wanao ota kuziunganisha nchi za Africa ni wapuuzi ilo jambo alitatokea milele kama awana kazi au kuna ufisadi unatengenezwa
 
Back
Top Bottom