Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania
Serikali imewaonya baadhi ya wakimbizi wa kisomali waliopewa uraia nchini kuacha kupandikiza mbegu za ugaidi kwa watanzania na badala yake wanapaswa kuheshimu sheria na taratibu zilizowekwa ili kuendelea kudumisha hali ya amani na utulivu iliyosababisha mamlaka husika kuwapatia uraia wa kuishi nchini. Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania | East Africa Television
Hiyo itakuwa ni mipango ya kuvuruga amani kwenye nchi zenye utulivu. Kwanza hakuna kinachoweza kuiunganisha Afrika, hivyo ni jambo lisilowezekana kamwe.