Hod humu ndani!
natumaini wote ni wazima kwa uwezo wa aliye juuu!(mola).
ni hivi waungwana, us department imenitumia e-mail kuwa nimechaguliwa kwenye hiyo permit tajwa hapo juu baada kufanyika random selection lakini pia niliwahi kujiunga kipindi falni maana wamenitumia ip adress ya compter yangu na tarehe niliyojiunga. mimi nilishasahau si mnajua mambo ya kusarf net.
SWALI LANGU SASA NI HIVI?
KWA WENYE UZOEFU HIKI KITU KIPO NA JE NI VALID AU NDO MAMBO YA KUTAKA KUNITAPELI? MAANA WAMESEMA INABIDI ULIPIE KAMA $440= Tsh 660,000/=
naomba kuwasilisha.
natumaini wote ni wazima kwa uwezo wa aliye juuu!(mola).
ni hivi waungwana, us department imenitumia e-mail kuwa nimechaguliwa kwenye hiyo permit tajwa hapo juu baada kufanyika random selection lakini pia niliwahi kujiunga kipindi falni maana wamenitumia ip adress ya compter yangu na tarehe niliyojiunga. mimi nilishasahau si mnajua mambo ya kusarf net.
SWALI LANGU SASA NI HIVI?
KWA WENYE UZOEFU HIKI KITU KIPO NA JE NI VALID AU NDO MAMBO YA KUTAKA KUNITAPELI? MAANA WAMESEMA INABIDI ULIPIE KAMA $440= Tsh 660,000/=
naomba kuwasilisha.