University of bagamoyo interview

University of bagamoyo interview

KANCHI

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2011
Posts
1,532
Reaction score
230
Wakuu vp kushalipuka huko au bado, 2peane taarifa.
 
Huku nadhani bado kimya ningependa kufanya nao katika IT hata consulte inatosha
 
Tustuane wakiita watu kwenye interview!
 
Title na mjadala havieleweki, toa hoja unayotaka kuongelea

Nadhani alikuwa anauliza wanafamilia kama wanataarifa yoyote inayohusu kuitwa watu walioomba kazi chuo kikuu cha Bagamoyo kwa ajili ya interview.
 
Nadhani alikuwa anauliza wanafamilia kama wanataarifa yoyote inayohusu kuitwa watu walioomba kazi chuo kikuu cha Bagamoyo kwa ajili ya interview.

Hata mm naona kimya....! Naona bado
 
Hivi jamani hichi ki2 bado 2??
 
Back
Top Bottom