ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hicho chuo tatizo lake ni ada kubwa, yan ata upewe mkopo 100% bado utalazimika kulipa si chin ya M1
Exactly,yaan ada yao ni M3 kwa mwaka wakati bodies sana sana watakulipia 1.5M kama itafika,so unatakiwa ujipange,then hakina hostel za pale,au labda saiv wawe wameshatafuta