University of Dar es salaam iamke sasa, imedumaa kwa kipindi cha miaka 50.

University of Dar es salaam iamke sasa, imedumaa kwa kipindi cha miaka 50.

Kijana na wewe huna tofauti na wenzio issue ni kwamba HUWEZI KUTAMBA UMEKUWA WA KWANZA KATIKA KUNDI LA VILAZA think big young boy hizo ni records tu wewe hujui hata mishahara wanayolipwa maprofesa ni mojawapo ya kigezo cha kuangalia ubora wa chuo,!

MKUU OMONA WANYU!

Kama utaangalia hoja iliyopo mbele yetu ipo kijumla sana. Haija dadavua kwa kile wewe ulicho jibu. Na ndiyo maana nika iweka au kuijibu ki vile. Kama vyuo vikuu Africa yote ni vilaza basi usilaumu au kulalamikia Chuo Kikuu cha Dar!!!! Hiyo ndiyo hali halisi ya Waafrica na kila walicho nacho. Kuwa nafasi ya 12 kati ya vilaza wote wa Africa si haba Mkuu.

Na siandiki hivi eti kwa sababu nimesoma UD, la hasha Mkuu. Sikuwahi na wala sijawaza kusoma pale. Kwa taarifa yako taasisi iliyo fanya tafiti hizi ni taasisi inayo heshimika na kuamini kimataifa (hasa yaliyo endelea). Sina hakika wewe umefanya tafiti ngapi, na kuzungukia vyuo vikuu vingapi katika Africa hadi ukawa hutaki kukubaliana na matokeo ya utafiti huu?

I'm stand to be corrected Mkuu!!!
 
WEWE unaonekana kweli kilaza nan ka kwambia idadi kubwa ya wanafunzi ni indicator ya chuo kukua?, unaposema sauti wanakozi nyingi ni zip maana hawaifikii udsm chek prospectus ya sasa ya ud na SAUT,Alafu udsm wanafundisha kwa kuangalia soko kuna degree kibao pale coet hazifundishi miaka ya hivi karibun sababu hazina uhitaji nchini, then check namber kubwa ya executive staff ktk office nyinng wamesoma chuo gan ukianzia ikulu, bot, jesh, polis, na makampuni mbalimbali utasema chuo kimedumaa, acha rank ya juu africa ambayo ww kimeo hutaki kukubali udsm the best. huwezi chukua wanafunzi wengi wakat miundo mbinu hairuhusu. SAUT wanafanya biashara yuliza wana accomodate wanafunzi kiasi gani pale main compuss idadi kubwa ya wanafunzi wao wanakaa uswahilini wapi watakuwa bora kama wanakaa mazingira yasio tulivu. wewe ni kilaza tena sana huwezi kuibeza udsm ktk maendeleo ya nchi hii, shiiiinzi!!!!!!
 
Chuo kikuu cha Dar es salaam, kwa hakika hakijafanya kama kinavotegemewa kwa kipindi cha miaka 50, kimebaki hivyo hivyo kwa kipindi kirefu, kimeshindwa kutoa wasomi na wataalamu wanaohitajika katika karne hii, wakati sayansi na teknlojia inakuwa Chuo hiki kimeendelea kutoa wataalamu walewale sambamba na vyuo vingine vilivyo anza chini ya miaka 15 iliyopita kama SAUT, SAUT ndio chuo pekee chenye idadi kubwa ya wanafunzi hapa Tanzania, na kinakuwa kwa kazi ya kongeza fani kwa speed ya ajabu, kwa hali hii watakuwa wapi miaka 35 ijayo, UDSM badilikeni muendelee mbele, hivi sasa hatutehgemei muendelee kufunza tuu walimu na wanasheria tunataka kusikia wanasayansi wa anga za juu, mabingwa wa sayansi, na vitu vinavyo fanana UDSM badirikeni hamfanani na miaka 50.

we unafilkiri kilitegemewa kifanye nn? unaposema kimebaki hiuvyo hivyo unamaana gani? sasa wewe kwa akili yako ndogo unajua civil saut hawajagraduate, much of engineering wa bongo wamesoma pale coet, kabla ya hivi karibuni radhi na taasiss za ufundi kuanza kutoa degree.wale chura wa kihansi waliokuwa marekani wamehifadhiwa chuo gani hapa bongo kama unajua kilaza ww ambacho unasema kimedumaa haikina wanasayansi. chuo kazi yake kutoa wataalam wanaoitajika na kwa sasa hap tz ni walimu na mahakimu ndo wanatakiwa, pamoja na hilo uliza kama hakuna graduate wa kozi zingine hapo udsm. SAUT wanafanya biashara angalia hizo college zao wanazofungua kila kona ipi mpya ambayo wamejenga zaidi ya kuweka interlectuals ktkt majengo yasiokuwa planned kwa ajili ya university kama secondary fulani tu. waulize wa mtwara, bukoba, na kwingineko walikofungua even hata hapo main compuss bado hapana ubora hawana maabara za civil wanategemea DIT. yaan idadi ya SAUTI NI QUANTITY ILA QUALITY NINA MASHAKA
 
Ubora wa chuo sidhani kama ni kutoa wanazuoni wengi suala hapa naona kinachotakiwa ni Ubora. Suala la sayansi na Teknolojia ni la kidunia na ni changamoto kubwa kwa dunia ya tatu na hasa kwa nchi kama yetu ambayo hata tooth pick, kikokotoleo,mwavuli n.k vinatoka nje.

Wataalamu wengi tunajua wapo nje ya nchi kama hujui na wamepitia hapo hapo unaposema pamedumaa...Ningependa ufahamu ukweli kuwa mitaji mikubwa ndio chachu kuu kukuza sayansi na teknolojia sio kukaa kusoma nadharia darasani.

Kwa hiyo kuhusisha umri wa chuo na Idadi wa watu wanaotolewa hapo kila mwaka ni kuteleza kidogo, Chuo chetu cha Manzese kitabaki kuwa hivyo na tuliopitia pale tunashukuru Mungu siwezi linganisha na vyuo vingine ambavyo GPA zinamwagwa kama njugu na mwisho wa siku hawaeleweki kwenye soko.
 
Wachangiaji wanaoipondea post yangu, siwashangai na wala siwalaumu, kwa maana kila mtu anao uhuru wa kutoa mawazo yake kwa jisi anavyoona mradi havunji sheria, as per Bill of Human Rights you have that absolute right, na kwa kutizama uelewa wenu napata picha harisi ya mindset yenu wote muna Inferiority complex inayowafanya mshindwe kuelewa mantiki ya mtu na kukimbilia kulalamika bila kuwa na sababu ya msingi, you guys are running short of reasoning compounded with poor argumentation ngoja niwasaidie the matter at issue here is
1. The University of Dar es salaam is not reflecting its fifty years of age.
2. The Institution has remained with the limited number of students while the demand kept rising.
3. Idadi ya Wanafunzi ni moja ya Indication kwamba chuo kinakua.
4. Common disciplines ndizo bado zinatolewa pale Chuoni kwa miaka nenda rudi.
Twende tukatibiwe ugonjwa wa inferiority complex na kugeuka walalamikaji siku zote bila kufanya utafiti na kuleta suruhu ya mambo.

Kwa wale Walalamikaji kwa taarifa yako am a graduate of the same institution, kwa hiyo msiwe wagonjwa wa kukariri tu kwamba kila anyekinzana na hoja anatoka upande wa pili wa mfumo.
Ndiyo matatizo ya kuugua kifafa (lunatics diseasea) na kujifanya wajanja wa mjini.Mwezi ukiwaka sana mnajificha nyumbani ili watu wasijue kuwa unaanguka kifafa na ukishaanguka kifafa unaanza kutamba mtaani,mtanashati kumbe unatoka povu la kifafa.Arguments zako nyingi ni illussions tu .
 
Ukweli ni kwamba UDSM haipo kulingana na umri wake
kama chuo cha kwanza nchini, yeyote angetegemea Graduate wa pale awe special, ( academic character) Hilo halina ubishi. ukizingatia kuwa Chuo hicho kitakuwa na walimu waliofaulu (mmoja/waiwili wakti huo hamna kata SS) waliopata point nzuri form four,( wakati huo A_level chache) wakaenda form six by then, generally vipanga. hivyo output itakuwa ya juu sana. Sijui mawazo ya mtoa mada, but Point ni kwamba tunategemea tukisoma habari gazetini nzuri huyo mwandishi kasoma udsm, daktari bingwa kasoma udsm, nk. kwa maneno mengine UDSM kwa leo kama kila baada ya mwaka ingekuwa inaanzisha kozi leo ingekuwa na degree 50 au zaidi inatoa, na kwa wanafunzi wazuri tu. ( wenye uwezo wa juu kiakili)
Pili, mtu yeyote anategemea kuona tofauti ya graduate wa UDSM na SAUT, St James, IFM, Mbeya tech, Morogoro Muslim, st Gasper, Theophil k, nk. hii tofauti haijalishi waandishi, engineers, economists etc ila UDSM graduate apate kuwa na tofauti na other universities.
Pengine tunatumia fananishi ya dunia ya kwanza, kama umegraduate Yale, Cambridge, Havard lazima tukuangalie kwa macho mawili, na ukiongea tukusikilize. Je leo Graduate wa UDSM wana hizo sifa?
Mwisho, najua kuna makosa, au makusudi, yalifanyika kuiondoa UCLAS, MUCHS etc, sababu chuo kikubwa kama hicho lazima kiwe na school za kutosha na degree nyingi kupita maelezo, na graduate wake wawe tofauti na vyuo vingine.
wakatabahu.
 
wachangiaji wanaoipondea post yangu, siwashangai na wala siwalaumu, kwa maana kila mtu anao uhuru wa kutoa mawazo yake kwa jisi anavyoona mradi havunji sheria, as per bill of human rights you have that absolute right, na kwa kutizama uelewa wenu napata picha harisi ya mindset yenu wote muna inferiority complex inayowafanya mshindwe kuelewa mantiki ya mtu na kukimbilia kulalamika bila kuwa na sababu ya msingi, you guys are running short of reasoning compounded with poor argumentation ngoja niwasaidie the matter at issue here is
1. The university of dar es salaam is not reflecting its fifty years of age.
2. The institution has remained with the limited number of students while the demand kept rising.
3. Idadi ya wanafunzi ni moja ya indication kwamba chuo kinakua.
4. Common disciplines ndizo bado zinatolewa pale chuoni kwa miaka nenda rudi.
Twende tukatibiwe ugonjwa wa inferiority complex na kugeuka walalamikaji siku zote bila kufanya utafiti na kuleta suruhu ya mambo.

Kwa wale walalamikaji kwa taarifa yako am a graduate of the same institution, kwa hiyo msiwe wagonjwa wa kukariri tu kwamba kila anyekinzana na hoja anatoka upande wa pili wa mfumo.
hiyo namba mbili yako inaoyesha huna akili unataka wachukue watu wengi wakati sehemu ya kuwaweka hawana na hujui watu wakiwa wengi kuliko resource ni fujo. Hiyo namba tatu ni uwongo kaka hakuna kitu kama hicho ubora ndio unaonesha kitu kinakua, kwa hiyo shule zenye watoto wengi darasani zinakuwa? Au ndo zinazidi kudidimia. Namba nne unamaanisha discipline zipi unaposema common?, na kama ndizo zinazohitajika ? Hebu toa ushaurio na pesa ya kuanzisha kozi mpya basi we unadhani hiki ni chuo binafsi nn?
 
Chuo kikuu cha Dar es salaam, kwa hakika hakijafanya kama kinavotegemewa kwa kipindi cha miaka 50, kimebaki hivyo hivyo kwa kipindi kirefu, kimeshindwa kutoa wasomi na wataalamu wanaohitajika katika karne hii, wakati sayansi na teknlojia inakuwa Chuo hiki kimeendelea kutoa wataalamu walewale sambamba na vyuo vingine vilivyo anza chini ya miaka 15 iliyopita kama SAUT, SAUT ndio chuo pekee chenye idadi kubwa ya wanafunzi hapa Tanzania, na kinakuwa kwa kazi ya kongeza fani kwa speed ya ajabu, kwa hali hii watakuwa wapi miaka 35 ijayo, UDSM badilikeni muendelee mbele, hivi sasa hatutehgemei muendelee kufunza tuu walimu na wanasheria tunataka kusikia wanasayansi wa anga za juu, mabingwa wa sayansi, na vitu vinavyo fanana UDSM badirikeni hamfanani na miaka 50.

Ndo maana ulifeli form 6
 
Chuo kikuu cha Dar es salaam, kwa hakika hakijafanya kama kinavotegemewa kwa kipindi cha miaka 50, kimebaki hivyo hivyo kwa kipindi kirefu, kimeshindwa kutoa wasomi na wataalamu wanaohitajika katika karne hii, wakati sayansi na teknlojia inakuwa Chuo hiki kimeendelea kutoa wataalamu walewale sambamba na vyuo vingine vilivyo anza chini ya miaka 15 iliyopita kama SAUT, SAUT ndio chuo pekee chenye idadi kubwa ya wanafunzi hapa Tanzania, na kinakuwa kwa kazi ya kongeza fani kwa speed ya ajabu, kwa hali hii watakuwa wapi miaka 35 ijayo, UDSM badilikeni muendelee mbele, hivi sasa hatutehgemei muendelee kufunza tuu walimu na wanasheria tunataka kusikia wanasayansi wa anga za juu, mabingwa wa sayansi, na vitu vinavyo fanana UDSM badirikeni hamfanani na miaka 50.
kimeshindwa kutoa wataalamu ki vipi au una uhakika gani kwamba kimeshindwa?? na je ukubwa au umri wa chuo ndio kigezo cha elimu bora?? na una uhakika gani kwamba SAUT ndio ina idadi kubwa ya wanafunzi hapa tz?? vipi kuhusu UDOM na UDSM??? USIKURUPUKE KIJANA!!!
 
Sioni hata cha maana ulichoandika hapa?

Umegundua eeeh!!! halafu hawa memba waliojiunga mwaka 2012 hawa hoja za maana. Sijui ameandika nini hapo juu. Yaani kazi kweli kweli. Haya bana.
 
Hoja yako ni dhaifu sana, kwa kifupi UDSM ndio chuo bora kwa TZ, Africa Mashariki na Africa kwa ujumla. Pia unapaswa kuelewa kuwa Chuo hiki kinajitahidi sana kuendeleza taaluma kwa tz licha ya fitna na hila za serikali kutaka kukididimiza.
akili yako haina tofauti na ya mtoa mada.....mgando wa mawazo!
 
we unafilkiri kilitegemewa kifanye nn? unaposema kimebaki hiuvyo hivyo unamaana gani? sasa wewe kwa akili yako ndogo unajua civil saut hawajagraduate, much of engineering wa bongo wamesoma pale coet, kabla ya hivi karibuni radhi na taasiss za ufundi kuanza kutoa degree.wale chura wa kihansi waliokuwa marekani wamehifadhiwa chuo gani hapa bongo kama unajua kilaza ww ambacho unasema kimedumaa haikina wanasayansi. chuo kazi yake kutoa wataalam wanaoitajika na kwa sasa hap tz ni walimu na mahakimu ndo wanatakiwa, pamoja na hilo uliza kama hakuna graduate wa kozi zingine hapo udsm. SAUT wanafanya biashara angalia hizo college zao wanazofungua kila kona ipi mpya ambayo wamejenga zaidi ya kuweka interlectuals ktkt majengo yasiokuwa planned kwa ajili ya university kama secondary fulani tu. waulize wa mtwara, bukoba, na kwingineko walikofungua even hata hapo main compuss bado hapana ubora hawana maabara za civil wanategemea DIT. yaan idadi ya SAUTI NI QUANTITY ILA QUALITY NINA MASHAKA
mkuu inaonyesha hujui maana ya engineering na engineer??? sasa unaposema engineers wengi wamesoma coet au foe(zamani) una maanisha nini?? je una data??? na kuhusu hao vyura unajua waliotoa wazo kwamba wapelekwe usa ni akina nan??? jibu ni kwamba ni UDSM!! Na baada ya kurudishwa unajua sasa wapo wapi?? jibu ni kwamba wapo SUA!! au na hapo unabisha mkuu??? EMBU JARIBU KUTUNISHA MISULI YA KUFIKIRI......
 
..Ili vyuo vikuu vya umma viwe na mchango ktk maendeleo ya jamii, lazima suala la elimu na utumiaji wa tafiti litiliwe mkazo na serikali. Post kama hii ambayo imejikita kwenye hisia bila uchambuzi wa kina zinaweza kukatisha tamaa wanataaluma wachache wanaofanya kaz nzur sana pasipo msaada wa serikali.

Kwa taarifa tu, UDSM imefanya tafiti kadhaa ambazo ni world class ktk sayansi na teknolojia-mfano kutumia nyaya za umeme kwa ajili ya mawasiliano ya data na sauti, kinachokosekana ni commitment ya serikal na sekta binafsi kuwezesha utengenezaji wa ving'amuzi vya aina hivyo. Tusidharau juhudi hiz, hata kama ni ndogo maana hata ktk nchi zilizoendelea, sio kila mwanataaluma anaweza akafanya utafiti wa maana. Pia tunajitahidi sana ktk bio-technology, pamoja na kwamba hakuna msukumo wa moja kwa moja. Usione vyuo kama MIT, Harvard ,nk vinafanya mambo makubwa ktk mawasiliano; wanapata ufadhili mkubwa kutoka serikalini na makampuni binafsi kama motorola, Nokia, Siemens n.k.

Kwa takriban miaka 5 hivi, nguvu kubwa ya serikali imeelekezwa kwenye chuo cha dodoma, mpaka ikafikia baadhi ya wabunge wanalalamika kwamba "mtoto asipendelewe kuliko mama, maana mama ananyonyesha". Tena nguvu iliyoelekezwa huko ni ya miundombinu (majengo,nk), sio ktk utafiti na ushauri. Ktk hali ya namna hii huwezi kuwa na matarajio makubwa kiasi cha kudharau kile ambacho kimefanywa. UDSM, ina matatizo yake, lakin ktk suala la utafiti, wameonyesha dhamira na nia.
 
akili yako haina tofauti na ya mtoa mada.....mgando wa mawazo!

Hii ndo shida ya kudumaa kwa ubongo na malaria kupanda kichwani. Hembu leta facts zako zinazoonesha udsm haiendelei, manake miaka yote ktk orodha ya vyuo bora africa udsm ndo inayoonekana kwa hapa bongo na SUA ikifuatia kwa mbali, hivyo vyuo vyenu havijulikani kabisa na havipo hata kwenye to 100
 
Hii ndo shida ya kudumaa kwa ubongo na malaria kupanda kichwani. Hembu leta facts zako zinazoonesha udsm haiendelei, manake miaka yote ktk orodha ya vyuo bora africa udsm ndo inayoonekana kwa hapa bongo na SUA ikifuatia kwa mbali, hivyo vyuo vyenu havijulikani kabisa na havipo hata kwenye to 100
Hoja yako ni dhaifu sana, kwa kifupi UDSM ndio chuo bora kwa TZ, Africa Mashariki na Africa kwa ujumla. Pia unapaswa kuelewa kuwa Chuo hiki kinajitahidi sana kuendeleza taaluma kwa tz licha ya fitna na hila za serikali kutaka kukididimiza.
hhahahahahha umenifurahisha!!! embu rudia hizo siasa za ki**** ulizoandika hapo!!! UDSM ni bora africa nzima??? are you serious???? by the way shida sio kujulikana shida ni mchango wa chuo katika maendeleo ya jamii!!!! embu usiwe mvivu wa kufikiri!!!!
 
Back
Top Bottom