Ndio wanakuwa na teaching subject moja.kama sijakosea inaweza kuwa Biology/History/Kiswahili)mathematics.. afu inaitwa Bachelor of Education in Physical education and Sport sciences_BED PESS UDSM!!!iv jaman bachelor of Physical education and sport science,msomaji anaweza akafundishwa na masomo mengine ya Darasani kama mwalimu wa kawaida mashuleni
Udsm hamna procurement coarse ,business school kuna MBA ,MIB,MIT,entrepreneurship basiDirisha la application ya masters liko wazi paka lini..?
Na je kuna Masters ya Procurement
Admission letter za 1st year UDSM zinatumwa lini?
Tarehe 16/ 10 kakaAdmission letter za 1st year UDSM zinatumwa lini?
Tangu lini chuo kikuu cha Dsm wameanza kutuma admission letter?Admission letter za 1st year UDSM zinatumwa lini?
Kwa postgraduate wanazituma kwenye account aliyoitumia mwombaji sina hakika kwa undergraduate lakini kwa uzoefu huwa hazitumwi kama wanavyofanya sekondariAdmission letter za 1st year UDSM zinatumwa lini?
Msaada wakuu kwa walioweza kuapply udsm merit scholarship 2019/2020 msaada mimi nimeshindwa na nahitaji!!Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha thread hii Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha mimi kama Mwana chuo kikuu cha DSM. Naombeni Ndugu zangu MODS msiifute Hii Thread Ahsanteni sana!
Kwa Kushirikiana na Wanazuoni wengine toka udsm tutaweka na tuta-update baadhi ya taarifa muhimu toka chuo hichi kongwe kwa kadri taarifa itakavyohitajika na jamii
Tunaomba Ushirikiano Wenu!
Nembo ya Chuo!
View attachment 502120
Business School
View attachment 502121
Msaada wakuu kwa walioweza kuapply udsm merit scholarship 2019/2020 msaada mimi nimeshindwa na nahitaji!!
hata mimi sielewi merit inahusu nini.na vigezo vya matokeo ni vipi
Msaada wakuu kwa walioweza kuapply udsm merit scholarship 2019/2020 msaada mimi nimeshindwa na nahitaji!!
Shukrani bossUbungo jeshini niijuayo mimi ni ya Kibangu, barabara ya Kibangu ndio kiunganishi cha Ubungo jeshini hadi Riverside ukifika Riverside hata ukimuuliza mtoto wa miaka mitano anakuelekeza Mabibo Hostel ilipo
Isitoshe Ubungo jeshini iko mbele ya Mabibo Hostel, hata kwa google map unafika...
Shukrani boss