Nyamwezi Boy
Member
- Dec 15, 2019
- 81
- 215
Shukrani sana Mkuu, Achana na mimi kunajamaa alipiga HGK ana CBC na O level C Mathematics, je kunaambao ulisoma nao wakitokea HGK,HGL au HKL?mkopo upo kama umesoma government, if umepiga private hesabu maumivu, ndio course ni ngumu usiposoma, ukisoma freshi hamna jipya utafaulu sana tu
yah wapo wakiotoka HGL, mradi uwe na C ya basic maths form 4Shukrani sana Mkuu, Achana na mimi kunajamaa alipiga HGK ana CBC na O level C Mathematics, je kunaambao ulisoma nao wakitokea HGK,HGL au HKL?
Pamoja sana Mkuuyah wapo wakiotoka HGL, mradi uwe na C ya basic maths form 4
Na mm nataka niapply hapo sema nimesema HKL ila nina C ya math o levelMwenye details ya Bachelor of Commerce in Accounting, anipe information hapo UDBS
kutokana na TCU umekizi vigezoNa mm nataka niapply hapo sema nimesema HKL ila nina C ya math o level
Second selection umeweka kozi gani? Maana naona hawataki uchague kozi moja kote na minimum ni 2kutokana na TCU umekizi vigezo
Kati ya tarehe 9-11 mwezi wa 10, au kabla ya tarehe hizo selection itakuwa tayarFirst selection wanatoaga tarehe ngap mwezi wa ngap[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Vipi hii Bcom in Accounting, kuna watu ambao walipata 100% toka bodi ya mkopo?details gani kijana mi nmepiga bcom acc hapo, jiandae kukutana na kina Dr Siasa, Dr mahangila, Cpa Mshana, Cpa Mangesho.. mtanyooka na hiyo account
Umepata?Na mm nataka niapply hapo sema nimesema HKL ila nina C ya math o level
Knockout kubwa sana nimepigwa mkuu, vp ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepata?
NimepataKnockout kubwa sana nimepigwa mkuu, vp ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera kaka[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Nimepata
Ulipata div ngap sixNimepata
Shukrani sana, nilipata One ya 8Ulipata div ngap six
Ndo maana mi nina two ya mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23]Shukrani sana, nilipata One ya 8
Shukrani sana, nilipata One ya 8Ulipata div ngap six
Umepata wapiNdo maana mi nina two ya mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23]
Umepata wapiNdo maana mi nina two ya mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23]