vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 865
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo maeneo ndio kuna Pisi haswaa, Sasa nilihitaji tarakimu tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo maeneo ndio kuna Pisi haswaa, Sasa nilihitaji tarakimu tu mkuu
Mkuu kumbe unataka pisi kali. Halafu sio wewe tu wadau wengi wanadai hapo UDBS kuna pisi kali sana, hili linaukweli?Hayo maeneo ndio kuna Pisi haswaa, Sasa nilihitaji tarakimu tu mkuu
Mkuu upo Bcom in Accounting?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yap mkuuMkuu upo Bcom in Accounting?
Pamoja sana MkuuYap mkuu
Na ww pia mkuuPamoja sana Mkuu
Hiiiiiii, sidhani Kama Kuna college ina Pisi za Moto Kama hapo UDBS kwingine huko Kuna shangazi zako wengi tu!!!Mkuu kumbe unataka pisi kali. Halafu sio wewe tu wadau wengi wanadai hapo UDBS kuna pisi kali sana, hili linaukweli?
Shukrani sana, nami natumaini mambo mazurHiiiiiii, sidhani Kama Kuna college ina Pisi za Moto Kama hapo UDBS kwingine huko Kuna shangazi zako wengi tu!!!
Nenda kasome mjomba UDSM kuingia ni raha sana ila kutoka ukileta utani First Year tu wanakula kichwa!!!!
Safi sana Kila la heri mkuu wangu!!!Shukrani sana, nami natumaini mambo mazur
Shukrani zaidi, naamini katika mafanikio ya kielimu, ni muhimu kuwa na watu makini zaidi.Safi sana Kila la heri mkuu wangu!!!
Chuo Kanuni iliyonisaidia ni hii tafuta marafiki wazuri na wenye uwezo mzuri darasani piga nao sana Disc tenga muda piga msuli Yatima Afu solve past papers Kama utapata (Maisha yatakuwa mswano tu)
Umesha request new code hapo. Ingia kwenye email yako utakuta code mpya, then uta confirmNashindwa ku confirm wanadai code invalid tatizo nini??View attachment 1623606
Code nimeshatumiwa kwa njia ya sms nimeandika zinagomaUmesha request new code hapo. Ingia kwenye email yako utakuta code mpya, then uta confirm
Request tenaCode nimeshatumiwa kwa njia ya sms nimeandika zinagoma
Hakuna hiyo optionRequest tena
Hiyo option haipo tenaRequest tena
Embu ingiza iyo code kwa umakini sana mkuuHiyo option haipo tena
Poa ngoja nisubir mpaka kesho nione itakuajeEmbu ingiza iyo code kwa umakini sana mkuu