vuta subira pia uenunaenda kuulizia, mara kwa maraNaomba kuuliza, TCU ilitoa fursa kwa wale wa Mwaka wa kwanza kubadilisha Program zao kwa wanaotaka, hadi leo hakuna majibu na Masomo yanaendelea , hivi kweli yatakapotoka huko anakotoka kuhamia ataweza kuyaelewa kama hakuanzi program mwanzoni na ni Kwanini UDSM haitoi majina ili wanaotaka kuhama wahamie mapema na tatizo ni nini mbona yasitoke ?
Wamejibu leoNaomba kuuliza, TCU ilitoa fursa kwa wale wa Mwaka wa kwanza kubadilisha Program zao kwa wanaotaka, hadi leo hakuna majibu na Masomo yanaendelea , hivi kweli yatakapotoka huko anakotoka kuhamia ataweza kuyaelewa kama hakuanzi program mwanzoni na ni Kwanini UDSM haitoi majina ili wanaotaka kuhama wahamie mapema na tatizo ni nini mbona yasitoke ?
kozi ganidaaah nikikumbuka nilivo nusurika ku disco mwaka wa mwisho,acha MUNGU aitwe hivo
civil Engkozi gani
Haiwezekani.Samahani Naomba kuuliza, kama nimefanya course ni elective na nikapata supp.
Je naweza kuomba iyo course ifutwe kwenye kwenye Saris yangu?.
Yaan ionekane sijawahi kusoma course kama hiyo
Fursa zipo zikiwamo kulima bustani ya maua pembezoni mwa barabaraHii kozi ya botanical science mwenye uelewa nayo naomba anifafanulie khsu fursa za hii koz
Jaman samahanini naomba kuuliza, Mimi nimesoma ualimu wa shule ya msingi, nna certificate, nataka nibadilishe fani nikasome diploma ya kitu kingine, naweza kusoma nn tena?Haiwezekani.
Kasome Traditional Medicine muhimbiliJaman samahanini naomba kuuliza, Mimi nimesoma ualimu wa shule ya msingi, nna certificate, nataka nibadilishe fani nikasome diploma ya kitu kingine, naweza kusoma nn tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fursa zipo zikiwamo kulima bustani ya maua pembezoni mwa barabara
Chuo pendwaaaah [emoji3590][emoji3590][emoji3590]University of Dar es Salaam View attachment 1723835View attachment 1723836View attachment 1723837View attachment 1723838