University of Nairobi Ranked Best in East Africa. 8th in AFRiCA

University of Nairobi Ranked Best in East Africa. 8th in AFRiCA

Mwaka jana serikali iliajiri watumishi a afya 8000+ madaktari wengi walipata ajira, waliobaki wako sekta binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kuongea mambo kishabiki madaktari wapo kibao tu mtaani wanazunguka na vyeti vyao hakuna ajira. Wengine wengi tu ni ma intern wanafanya kazi kwa kujitolea. Hospitali zote kubwa unazozijua wewe wanachukua ma intern tu muda na wako ukiisha unasepa wanakuja wadogo zako. Hata hizo kazi za kujitolea bado zinagombaniwa watu wapate ata pesa ya kula.
Jaribuni kuongea ukweli ukweli siku zote utawaweka huru kuja kujitamba huku uonge mnapata faida gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uwiano wa madaktari kwa idadi ya Wakenya haujafikia unavyopaswa kuwa, hivyo sio ajabu tukaagiza waje zaidi, hapa kwetu kila anayehitimu udaktari anayo uhakika wa ajira, ila nilishangaa sana kusikia kwenu kunao madaktari wamesota kitaa, yaani daktari kabisa aliyesomea taaluma yote hadi mwisho.....haimezeki.

Anyway hongera sana kwa vyuo vya Kenya kwa kuendeleza uongozi ukanda huu wote.
aisee hapa umeongea ukweli mtupu
 
Acha kuongea mambo kishabiki madaktari wapo kibao tu mtaani wanazunguka na vyeti vyao hakuna ajira. Wengine wengi tu ni ma intern wanafanya kazi kwa kujitolea. Hospitali zote kubwa unazozijua wewe wanachukua ma intern tu muda na wako ukiisha unasepa wanakuja wadogo zako. Hata hizo kazi za kujitolea bado zinagombaniwa watu wapate ata pesa ya kula.
Jaribuni kuongea ukweli ukweli siku zote utawaweka huru kuja kujitamba huku uonge mnapata faida gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa akili yako intern anajitolea Au ni sehemu ya darasa?Na tangu lini internist akawa na njaa?acha kukurupuka vitu usivyovijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili yako intern anajitolea Au ni sehemu ya darasa?Na tangu lini internist akawa na njaa?acha kukurupuka vitu usivyovijua

Sent using Jamii Forums mobile app

Intern ni sehemu ya darasa akimaliza muda wake anakosa kazi anakuja kuendelea kujitolea hapo alipofanya intern kwa mda ataopewa baada ya hapo anasepeseshwa kwa sababu kazi hakuna umeelewa sasa??
 
Intern ni sehemu ya darasa akimaliza muda wake anakosa kazi anakuja kuendelea kujitolea hapo alipofanya intern kwa mda ataopewa baada ya hapo anasepeseshwa kwa sababu kazi hakuna umeelewa sasa??
Hujielewi utanielewesha nn sasa,hakuna ulazima wa kurudi ulipofanyia intern Kwani kila mwaka wanakuja wengine kukava kitengo,Miaka michache tu ndio intern imeanza kufanyika hosp za mikoa apo awali ilikua ni either muhimbili, kcmc, bugando au mbeya, sasa jaribu kuangalia utarudi muhimbili uombe kujitolea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nyie hua proud kumaliza chuo kikuu?kichwa hakina maarifa yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kijana unanichekeshasana. Eti kichwa hakina maarifa yoyoteyoyote lol!hao ndio wakenya.wanaenda chuo kusomea kimombo.
Nao wabongo wanaenda chuo kusomea umbea na matusi.
There are so many uMBEYA institute of gossip & insults studies alumni humu
 
Aisee kijana unanichekeshasana. Eti kichwa hakina maarifa yoyoteyoyote lol!hao ndio wakenya.wanaenda chuo kusomea kimombo.
Nao wabongo wanaenda chuo kusomea umbea na matusi.
There are so many uMBEYA institute of gossip & insults studies alumni humu
Wahitimu wa vyuo vikuu hehehe
Ni tofaut kabisa na msomi wa chuo kikuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kulia bro imeeleweka Sent using Jamii Forums mobile app
Haa! [emoji1] Eti acha kulia. Sasa inakuuma kwamba najivunia kuwa alumni wa The U.O.N.? [emoji15]
5483190_concern_jpeg755d8f68666898fec6cf48cde495349f
 
Hujielewi utanielewesha nn sasa,hakuna ulazima wa kurudi ulipofanyia intern Kwani kila mwaka wanakuja wengine kukava kitengo,Miaka michache tu ndio intern imeanza kufanyika hosp za mikoa apo awali ilikua ni either muhimbili, kcmc, bugando au mbeya, sasa jaribu kuangalia utarudi muhimbili uombe kujitolea?

Sent using Jamii Forums mobile app

We jamaa nadhani ni mjinga maana natumia nguvu nyingi sana kukuelesha alafu huelewi .
Sasa ulichoandika ww na nilichoandika mm kuna tofauti gani?
Intern zinatumika kucover sehemu ambazo ajira zingewekwa so hospitali hazina uhitaji wa kuajiri tena madaktari graduates kwa sababu kazi zao hufanywa na interns.
Umeelewa sasa wewe mjinga?
Note mjinga sio tusi ni hali tu ya kutokujua kitu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hongereni majirani, mjitahidi mmalize ugaidi hiyo ndio breki yenu. ila kuna kitu mmesahau, scientist
 
View attachment 1009213

The University of Nairobi's main entrance. It has been ranked as the best in East Africa. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP




    • In East Africa, University of Nairobi was ranked as the best university and eighth in Africa, followed by Makerere University which was number 11 in the continent.

The latest Webometrics ranking of world universities has named University of Nairobi, Kenyatta, Egerton, Moi and Jomo Kenyatta as the best five public universities in Kenya.
Mount Kenya, Strathmore, Catholic University of Eastern Africa, United States International University (USIU) and Daystar are ranked the best private institutions.


The University of Nairobi (UoN) is the best university in East Africa and position eight in the continent.
It is also among the top 1,000 best universities in the world, after it was ranked position 990.



REVAMP
The Webometrics ranking focused on 11,995 universities across the world.

UoN vice chancellor Peter Mbithi said the university is embarking on major reforms to improve quality of teaching that will see its rankings improve in future.
“We are keen at ensuring that we focus on research and training of our lecturers in different fields to ensure they transfer the best skills to students,” he said.


UoN is followed by Kenyatta University (position 17 in Africa and 1,596 in the world), Egerton University (21 in Africa and 1,881 worldwide), Moi University (22 in Africa and 1,951 in the world) and Jomo Kenyatta (39 in Africa and 2,767 globally).
Maseno comes in sixth in Kenya and ranks position 81 in Africa and 4,126 in the world.



CONTENDERS
Strathmore is the best private university and the seventh best university in the country.
Catholic University of Eastern Africa is the second best private university and the ninth best in Kenya followed by USIU, which was position 10 in the country.


Daystar University was the fourth best private university and number 11 in the country, while Mount Kenya University was ranked fifth among private universities and number 13 in the country.

In December last year, the top five universities were also ranked among the top best universities in a ranking conducted by University Ranking Academic Performance.
Harvard University is ranked as the best university in the world, followed by Stanford University, Massachusetts Institute of Technology, Oxford University and University of California Berkeley.



SOUTH AFRICA
In Africa, University of Cape Town is the best university after it was ranked number 272 in the world.
It was followed by University of Witwatersrand (445), University of Pretoria (449), Stellenbosch University (496) and University of Kwazulu Natal (624), all from South Africa.
In East Africa, University of Nairobi was ranked as the best university and eighth in Africa, followed by Makerere University which was number 11 in the continent.
Webometrics only measured the extent to which universities use the internet to spread, transfer and exchange knowledge.
It does not give its raw data and analytical parameters.
Students wishing to use its findings to make decisions on courses or which universities to join would be best advised to use multiple rankings which consider other factors including quality of faculty, research output and alumni success.


UoN ranked best university in East Africa
Alshababu wamesikia tayari ngoja watie timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom