Ubora upo kwenye kula vichwa na kuwaambia wanafunzi kuwa C ya Yudizimu ni Sawa na A ya TumainiSisi research zetu huwa zinaishia wapi??
Vile vile quality of Alumni iko vipi?? Hawa graduates, madokta na maprofesa wetu waliohitimu vyuo wana ubora gani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nyie hua proud kumaliza chuo kikuu?kichwa hakina maarifa yoyoteI am proud to be an Alumni of The U.O.N! Great, things are getting even better.
Mwaka jana serikali iliajiri watumishi a afya 8000+ madaktari wengi walipata ajira, waliobaki wako sekta binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee hapa umeongea ukweli mtupuUwiano wa madaktari kwa idadi ya Wakenya haujafikia unavyopaswa kuwa, hivyo sio ajabu tukaagiza waje zaidi, hapa kwetu kila anayehitimu udaktari anayo uhakika wa ajira, ila nilishangaa sana kusikia kwenu kunao madaktari wamesota kitaa, yaani daktari kabisa aliyesomea taaluma yote hadi mwisho.....haimezeki.
Anyway hongera sana kwa vyuo vya Kenya kwa kuendeleza uongozi ukanda huu wote.
Nimesema am proud to be an Alumni of The U.O.N, tafuta tafsiri ya jina Alumni kwa kiswahili. Acha ukibwengo.Ndio nyie hua proud kumaliza chuo kikuu?kichwa hakina maarifa yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulia bro imeelewekaNimesema am proud to be an Alumni of The U.O.N, tafuta tafsiri ya jina Alumni kwa kiswahili. Acha ukibwengo.
Kwa akili yako intern anajitolea Au ni sehemu ya darasa?Na tangu lini internist akawa na njaa?acha kukurupuka vitu usivyovijuaAcha kuongea mambo kishabiki madaktari wapo kibao tu mtaani wanazunguka na vyeti vyao hakuna ajira. Wengine wengi tu ni ma intern wanafanya kazi kwa kujitolea. Hospitali zote kubwa unazozijua wewe wanachukua ma intern tu muda na wako ukiisha unasepa wanakuja wadogo zako. Hata hizo kazi za kujitolea bado zinagombaniwa watu wapate ata pesa ya kula.
Jaribuni kuongea ukweli ukweli siku zote utawaweka huru kuja kujitamba huku uonge mnapata faida gani?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa akili yako intern anajitolea Au ni sehemu ya darasa?Na tangu lini internist akawa na njaa?acha kukurupuka vitu usivyovijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujielewi utanielewesha nn sasa,hakuna ulazima wa kurudi ulipofanyia intern Kwani kila mwaka wanakuja wengine kukava kitengo,Miaka michache tu ndio intern imeanza kufanyika hosp za mikoa apo awali ilikua ni either muhimbili, kcmc, bugando au mbeya, sasa jaribu kuangalia utarudi muhimbili uombe kujitolea?Intern ni sehemu ya darasa akimaliza muda wake anakosa kazi anakuja kuendelea kujitolea hapo alipofanya intern kwa mda ataopewa baada ya hapo anasepeseshwa kwa sababu kazi hakuna umeelewa sasa??
Aisee kijana unanichekeshasana. Eti kichwa hakina maarifa yoyoteyoyote lol!hao ndio wakenya.wanaenda chuo kusomea kimombo.Ndio nyie hua proud kumaliza chuo kikuu?kichwa hakina maarifa yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika niniNi sawa, Nairobi University is a very old Muzungu University!
Wahitimu wa vyuo vikuu heheheAisee kijana unanichekeshasana. Eti kichwa hakina maarifa yoyoteyoyote lol!hao ndio wakenya.wanaenda chuo kusomea kimombo.
Nao wabongo wanaenda chuo kusomea umbea na matusi.
There are so many uMBEYA institute of gossip & insults studies alumni humu
Hahaha.lol..graduates vs scholars.Probably, there's a diff.btn the 2!😆Wahitimu wa vyuo vikuu hehehe
Ni tofaut kabisa na msomi wa chuo kikuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwako. Until recently it was not easy to get accepted to UoN. Hii current generation hawajuiI am proud to be an Alumni of The U.O.N! Great, things are getting even better.
Haa! [emoji1] Eti acha kulia. Sasa inakuuma kwamba najivunia kuwa alumni wa The U.O.N.? [emoji15]Acha kulia bro imeeleweka Sent using Jamii Forums mobile app
I am proud to be an Alumni of The U.O.N! Great, things are getting even better.
Hujielewi utanielewesha nn sasa,hakuna ulazima wa kurudi ulipofanyia intern Kwani kila mwaka wanakuja wengine kukava kitengo,Miaka michache tu ndio intern imeanza kufanyika hosp za mikoa apo awali ilikua ni either muhimbili, kcmc, bugando au mbeya, sasa jaribu kuangalia utarudi muhimbili uombe kujitolea?
Sent using Jamii Forums mobile app
O.K.I'm also proud to be an Alumni of one of the best hundred universities in the world and ten in Europe.
Alshababu wamesikia tayari ngoja watie timuView attachment 1009213
The University of Nairobi's main entrance. It has been ranked as the best in East Africa. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP
- In East Africa, University of Nairobi was ranked as the best university and eighth in Africa, followed by Makerere University which was number 11 in the continent.
The latest Webometrics ranking of world universities has named University of Nairobi, Kenyatta, Egerton, Moi and Jomo Kenyatta as the best five public universities in Kenya.
Mount Kenya, Strathmore, Catholic University of Eastern Africa, United States International University (USIU) and Daystar are ranked the best private institutions.
The University of Nairobi (UoN) is the best university in East Africa and position eight in the continent.
It is also among the top 1,000 best universities in the world, after it was ranked position 990.
REVAMP
The Webometrics ranking focused on 11,995 universities across the world.
UoN vice chancellor Peter Mbithi said the university is embarking on major reforms to improve quality of teaching that will see its rankings improve in future.
“We are keen at ensuring that we focus on research and training of our lecturers in different fields to ensure they transfer the best skills to students,” he said.
UoN is followed by Kenyatta University (position 17 in Africa and 1,596 in the world), Egerton University (21 in Africa and 1,881 worldwide), Moi University (22 in Africa and 1,951 in the world) and Jomo Kenyatta (39 in Africa and 2,767 globally).
Maseno comes in sixth in Kenya and ranks position 81 in Africa and 4,126 in the world.
CONTENDERS
Strathmore is the best private university and the seventh best university in the country.
Catholic University of Eastern Africa is the second best private university and the ninth best in Kenya followed by USIU, which was position 10 in the country.
Daystar University was the fourth best private university and number 11 in the country, while Mount Kenya University was ranked fifth among private universities and number 13 in the country.
In December last year, the top five universities were also ranked among the top best universities in a ranking conducted by University Ranking Academic Performance.
Harvard University is ranked as the best university in the world, followed by Stanford University, Massachusetts Institute of Technology, Oxford University and University of California Berkeley.
SOUTH AFRICA
In Africa, University of Cape Town is the best university after it was ranked number 272 in the world.
It was followed by University of Witwatersrand (445), University of Pretoria (449), Stellenbosch University (496) and University of Kwazulu Natal (624), all from South Africa.
In East Africa, University of Nairobi was ranked as the best university and eighth in Africa, followed by Makerere University which was number 11 in the continent.
Webometrics only measured the extent to which universities use the internet to spread, transfer and exchange knowledge.
It does not give its raw data and analytical parameters.
Students wishing to use its findings to make decisions on courses or which universities to join would be best advised to use multiple rankings which consider other factors including quality of faculty, research output and alumni success.
UoN ranked best university in East Africa