Suma mziwanda kageye
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 213
- 25
Je nivi2/vyet gan unavyotakiwa kwenda navyo chuo cku ya registration?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo chako hakijakwambia? Basi subiri watatoa kupitia Joining'i instrakisheni utajua kila kitu.
na wewe unaenda chuo?instrakishen.
na wewe unaenda chuo?
na wewe unaenda chuo?
Kwanza umechaguliwa chuo gani? Tukishajua tunaweza kukupa msaada ni vitu/vyeti gani unatakiwa kwenda navyo.Je nivi2/vyet gan unavyotakiwa kwenda navyo chuo cku ya registration?
Kwanza umechaguliwa chuo gani? Tukishajua tunaweza kukupa msaada ni vitu/vyeti gani unatakiwa kwenda navyo.
Kwanza umechaguliwa chuo gani? Tukishajua tunaweza kukupa msaada ni vitu/vyeti gani unatakiwa kwenda navyo.
Je umeshapata admission letter?Nimechaguliwa udsm kaka.