University za Kenya zitatengeneza tablets zaidi ya elfu mia moja sitini kwa sababu ya kuhesabu watu

University za Kenya zitatengeneza tablets zaidi ya elfu mia moja sitini kwa sababu ya kuhesabu watu

Unahitaji Elimu gani kuunganisha vifaa vya simu mzee? Yaani kupachika circuit mahala pake, Mike, speaker, Vibration na charging system? Si ni kiasi cha kupachika tu mzee? Kwamba hujawahi cheza na vidude hivi utotoni Kwako?
Si kupachika tu Kama unavyo sema hata Kama uko na all parts .Lazima uwe na technical know how ya ku assemble na uwe na background ya vifaa vya Electroniki.
Kwa mfano Most parts zitakuwa soldered kwa motherboard. lakini Kama hujui venye Zina work you will end up short circuiting .
 
Eti masomo haihitajiki kufanya assembling, hio ni upuzi. Nikiletea huyu mjinga components za computer bila kumfunza nini ndio nini na nini inaunganishwa na nini kutumia screw gani au powertool gani huyu ng'ombe ataweza kuunganisha kweli? Ama ataishia kuunganisha upuzi tu. Lazima upate masomo ndio uunganishe. Hii sio kupika mandazi ile mumezoea huko tandale, hii kazi hamuwezani nayo. Nendeni mupike mandazi huko
Hehe unaishi enzi za 90's when Ram, sijui bios chip, disk video card, etc were separate components. Leo ni SOC design, system on chip..Kila kitu kipo kwa chip moja tu, unaunganisha camera na mic bas kwisha
 
Sasa nyie mbona mmeshindwa hata ku export product zenu? Hebu taja kampuni za china zinazounda processors
Duuuh kwanza hujui nini nimezungumzia.
Hata maana ya processor hujui.
Nimekwambia China ndio processors wakubwa wa sim hadi za iPhone.
Americans wao wanamiliki tu viwanda ila processors wa hizo bidhaa ni 80% chinese skilled cheap Labours.
Umenielewa hapo?!
Halafu processor ina maana pana,ukienda upande wa pili wa maana ya processor ni kitu kinacho assist shughuli flani tuseme ni machine tu.
Wewe hapo reli yenu ya sgr imetengenezwa na processors za Chinese skilled labours.
Mnajifanya mnajua kumbe nothing you know.
Asa nyie tuone kama mna processors ambao ni skilled labours kama walivyo wachina.
 
Duuuh kwanza hujui nini nimezungumzia.
Hata maana ya processor hujui.
Nimekwambia China ndio processors wakubwa wa sim hadi za iPhone.
Americans wao wanamiliki tu viwanda ila processors wa hizo bidhaa ni 80% chinese skilled cheap Labours.
Umenielewa hapo?!
Halafu processor ina maana pana,ukienda upande wa pili wa maana ya processor ni kitu kinacho assist shughuli flani tuseme ni machine tu.
Wewe hapo reli yenu ya sgr imetengenezwa na processors za Chinese skilled labours.
Mnajifanya mnajua kumbe nothing you know.
Asa nyie tuone kama mna processors ambao ni skilled labours kama walivyo wachina.
OKAY SIJUI MAANA YA PROCESSORS(VICHAKATUZI) HEBU NAWEWE NIAMBIE MNANINI LA KUJIVUNIA KWENYE TECHNOLOGY TANZANIA. HATA KU EXPORT GOODS MNASHINDWA. YAANI HATA BIDHAA ZENU KUFANYIA PACKAGE MNAFELI VIBAYA MUNO.
 
KNBS contracts JKUAT and Moi to supply Sh470.5mn tablets for census
MONDAY, JULY 8, 2019 12:42
BY BONFACE OTIENO
The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) has contracted two local universities to supply it with 164,700 digital tablets required to conduct this year’s national population census.
KNBS director-general Zachary Mwangi said Monday that Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) and Moi University will supply the agency with 164,700 tablets to conduct the exercise.
The tablets, set to cost the agency Sh470.5 million will be installed with a tracking software, questionnaires and area maps.
Remote, off-grid areas will be supplied with solar chargers.
“We contracted Moi University and JKUT directly so that they can assemble the devices in the two universities. We are looking at 164,700 devices and each gadgets goes at around Sh15, 000,” said Mr Mwangi Monday.
He noted that Moi University will produce 40 per cent of the gadgets while JKUAT will assemble the remaining 60 per cent.
The bureau, he said will employ 135,000 enumerators, 27, 000 content supervisors and 2,700 ICT supervisors.
“They are expected to start work starting July 15 to August 25 when the exercise will come to an end,” said Mr Mwangi
Kenya conducts its household census every 10 years, the last exercise being in 2009, which cost Sh8.4 billion, out of which Sh5 billion went to pay census personnel.
The population data is often shared among key government ministries and departments to guide in resource allocation and wealth distribution.
Preliminary results for 2019 census, is expected to be ready in November, while the final results for the exercise will be ready by February 2020.
CMA bars DeSimone, Satchu from holding positions in listed firms
BY ADONIJAH OCHIENG
4 HOURS AGO
City Market traders' row stalls business
BY COLLINS OMULO
2 HOURS AGO
New State agency to monitor staff layoffs
BY CONSTANT MUNDA
7 HOURS AGO
ARM 5.55 BAMB 115 ▲1.00(0.8
IN THE HEADLINES
Menu
ADVERTISEMENT
City Mar trad row
CMA bars DeSi Satc
Cens staff train begi
ADVERTISEMENT
ADVERTISEM
University za Tanzania zinaweza kutengeneza hata redio?
you mean they are going to get the Chinese make the parts so they can install the needed softwares! Kudos kenyas firm
 
Wewe kama article ndogo kama hio huwezi soma ukaelewa basi una matatizo ya akili.
Okay Squidward tentacles, here is what the article stated " has contracted two local universities to SUPPLY it with 164,700 digital tablets, also they can ASSEMBLE the devices in the two universities and finally JKUAT and Moi University will SUPPLY the agency with", unless SUPPLY and ASSEMBLE has new meanings I stand NOT corrected
 
Okay Squidward tentacles, here is what the article stated " has contracted two local universities to SUPPLY it with 164,700 digital tablets, also they can ASSEMBLE the devices in the two universities and finally JKUAT and Moi University will SUPPLY the agency with", unless SUPPLY and ASSEMBLE has new meanings I stand NOT corrected
Tangu lini maana ya assembling ikawa ni kuinstall software? Wacha ujinga. Kuinstall software hata mtoto wa miaka tatu anaeza fanya. Wacha madharau.
 
Tangu lini maana ya assembling ikawa ni kuinstall software? Wacha ujinga. Kuinstall software hata mtoto wa miaka tatu anaeza fanya. Wacha madharau.
with instructions from the manufacturer even a 2 year old can assemble a tablet. This is redundant and your government is willingly corrupting itself.
 
with instructions from the manufacturer even a 2 year old can assemble a tablet. This is redundant and your government is willingly corrupting itself.
Wacha ung'ombe. Kwa hivyo unadhani mtu anaweza kuassemble kwa kutumia mkono bila tools? Ng'ombe sana.
 
Back
Top Bottom