Unlike groundbreaking ceremeony, Uhuru is all alone at Lamu port launch!

Unlike groundbreaking ceremeony, Uhuru is all alone at Lamu port launch!

Hahaha, Yani CCM imewa yeyusha akili na brainwashing kiasi hicho mpaka Kaunda suit (ambayo huvaliwa kote sub Saharan Africa ) ni nguo ya kitanzania pekeyake!? Duh! Poleni sana!



Alafu unajua hii Barbara ya Kuelekea Ethiopia mnaweza kutumia hadi nyinyi kupeleka mizigo yenu Ethiopia kupitia Namanga kwa nchi ambayo mbeleni mlikua hamna biashara nayo? Badala ufikirie kibiashara kama hizo we unabaki na fikra za kimaskini na wivu!!!!!

Tanzania ni nchi ya watu 60m na mko na bandari tatu na zote zina wateja. Unataka uniambie Ethiopia na watu 100m wanaweza kutoshelezwa na bandari moja au mbili? Fikra za wachawi zishindwe!
Kaunda alikuwa rais wa Zambia. Source ya mavazi hayo ni Ujamaa kutoka china. Je wakenya mmeanza kuiga ujamaa!?
1621583373573.png
 
Kaunda alikuwa rais wa Zambia. Source ya mavazi hayo ni Ujamaa kutoka china. Je wakenya mmeanza kuiga ujamaa!?
View attachment 1792545
Fashion kutumika kama statement ya sera za kiuchumi ni mambo ya cold war era bana! Amka kumekucha, ni 2021 mambo hayo yaliisha, hata Tanzania yenyewe haifwati sera za ujamaa tena!
Kaunda ni suti tu sikuhizi.
 
Hahaha, Yani CCM imewa yeyusha akili na brainwashing kiasi hicho mpaka Kaunda suit (ambayo huvaliwa kote sub Saharan Africa ) ni nguo ya kitanzania pekeyake!? Duh! Poleni sana!



Alafu unajua hii Barbara ya Kuelekea Ethiopia mnaweza kutumia hadi nyinyi kupeleka mizigo yenu Ethiopia kupitia Namanga kwa nchi ambayo mbeleni mlikua hamna biashara nayo? Badala ufikirie kibiashara kama hizo we unabaki na fikra za kimaskini na wivu!!!!!

Tanzania ni nchi ya watu 60m na mko na bandari tatu na zote zina wateja. Unataka uniambie Ethiopia na watu 100m wanaweza kutoshelezwa na bandari moja au mbili? Fikra za wachawi zishindwe!
Kwanza hiyo sio Kaunda Suit na hata kama ingekua Kaunda Suit bado ina Legacy ya Tanzania

 
Kwanza hiyo sio Kaunda Suit na hata kama ingekua Kaunda Suit bado ina Legacy ya Tanzania

Sasa ni legacy ya Tz au ya China?
 
Hii ndio neopanamax for transshipment to Dar? 😅😅
Baada ya miaka 20 ya construction and yet not even ready ndio mnatuletea hii empty ngalawa ya kukodi for a picture?


View attachment 1792376
From this angle, kina more than 50 containers, kwa port ambayo hata Haina vifaa!
E10j2A-XoAA8Q_C.jpeg



Alafu unajua meli zaidi ya moja ilitia nanga, he hii nyingine utasemaje, mind you, this was day 1!!!!
Unafikiri ni rahisi kuvutia meli wakati bandari hata Haina vifaa?
2781679_E11RymMXsAIgK4v.jpg

2781673_E10zPH5XoAAElGn.jpg




_____
Afadhali ukubali Tz imepigwa 10 - 0, sahii na mapema uchungu uishe, kuendeleae kujipa moyo kwamba Lamu ni white elephant kutasababisha kuumwa na moyo tu, Ngoja Sept vifaa vipya vya Lamu vikiwasili, hapo ndo utalia chooni!
 
Fashion kutumika kama statement ya sera za kiuchumi ni mambo ya cold war era bana! Amka kumekucha, ni 2021 mambo hayo yaliisha, hata Tanzania yenyewe haifwati sera za ujamaa tena!
Kaunda ni suti tu sikuhizi.
Naona mwendo wa Kim Jong-un kule! 🤣 🤣 🤣
 
From this angle, kina more than 50 containers, kwa port ambayo hata Haina vifaa!
View attachment 1792567


Alafu unajua meli zaidi ya moja ilitia nanga, he hii nyingine utasemaje, mind you, this was day 1!!!!
Unafikiri ni rahisi kuvutia meli wakati bandari hata Haina vifaa?
View attachment 1792566
View attachment 1792565



_____
Afadhali ukubali Tz imepigwa 10 - 0, sahii na mapema uchungu uishe, kuendeleae kujipa moyo kwamba Lamu ni white elephant kutasababisha kuumwa na moyo tu, Ngoja Sept vifaa vipya vya Lamu vikiwasili, hapo ndo utalia chooni!
By Sept the other two barths will be up and running., Ziko 99% complete.,
 
Lamu ni mwiba kwa port za Oman, Dubai na Singapore, biashara ya transshipment of goods coming to Africa ambayo ilikua inaishia kule itakuja karibu sasa.,
 
Hiki kingalawa kimekodishwa kama yale magari ya harusi mombasa [emoji28][emoji28][emoji28]

Hakuna hata juakali fishing boat inayodock Lamu masikini [emoji28][emoji28][emoji28]

View attachment 1792013


Walituambia itakua ni EA transshipment hub na itaigalagaza Mtwara port [emoji23][emoji23]
Hii comment tutarevisit very soon
 
The Conversation

Kenya launches Lamu port. But its value remains an open question

May 20, 2021 4.07pm BST
Jan Bachmann, Benard Musembi Kilaka, University of Gothenburg

Container ship docks in the new Lamu Port

The first container ship to dock in the new Lamu Port. Official image from LAPSSET

Kenya’s newest mega infrastructure project, the Lamu port, has received its first ship. Moina Spooner, from The Conversation Africa, asked Jan Bachmann and Benard Musembi – who study the environmental, socio-economic and security dynamics along the Lamu Port South Sudan Ethiopia Transport Corridor – to provide insights into the history of the port, the opportunities it presents and the concerns around it.

When and why was the Lamu port project initiated?​

The Lamu port is part of an ambitious transport corridor between Lamu – a small archipelago north of Mombasa in Kenya – South Sudan and Ethiopia.
Kenya already has one deep-water port in Mombasa. Plans for a second one to diffuse economic dependency on Mombasa go back to the mid-1970s. However, it only materialised in March 2012. The occasion was marked when the then East African heads of states – Kenya’s Mwai Kibaki, Ethiopia’s Meles Zenawi and South Sudan’s Salva Kiir – laid the port’s foundation stone.

In its early ambition, the Lamu port figured as connecting the landlocked East African economies to global trade routes. More specifically, it was envisioned as an alternative outlet for South Sudan’s oil, which is currently pumped via the Greater Nile Oil Pipeline to Port Sudan.

With South Sudan mired in continuous war and Ethiopia upping its stakes in the ports of Djibouti and, most recently, Berbera, the international ambitions of the transport corridor shrivelled somewhat.

Yet, as a cornerstone of the Kenyan government’s Vision 2030 development plan, it is now branded as a “game changer” project.

Its new aim is to integrate marginalised northern Kenya into the Kenyan economy and the nation. Plans for the corridor include a pipeline, a railway line, a road network connecting Lamu, Garissa, Isiolo, Moyale and Turkana, a dam along Tana river, airports and resort cities. There are also plans to establishnumerous industrial areas along the corridor.

We show in our research that most of the plans are real on paper and government websites only.

Nevertheless, the implications for communities across northern Kenya are very concrete. Beside the completion of the 500km Isiolo-Moyale road, the official opening of Lamu port marks the project’s most salient achievement so far.

Constructed by the China Communication Construction Company, the first three of the planned 32 berths come at a cost of US$367 million.



What opportunities does the port present?​

Mobilising projections about future trade, the Kenyan government has persistently argued that the Lamu port will become a viable and necessary complement to the hub of Mombasa. Local authorities specifically invest their hopes in plans for a special economic zone, though to date these have rather been illusive. This promises significant investments in the port and the creation of hundreds of jobs.

Since the port will primarily serve as a transshipment hub, it’s expected to attract key shipping lines by competing with the ports of Djibouti on the horn of Africa and Durban in South Africa. In addition it would serve key markets in southern Ethiopia and South Sudan.
So far, around 19 shipping lines have inspected the port. The Kenya Ports Authority anticipates many will use it and take the generous promotional offers currently in place.

On the positive side, road works connecting Lamu to Nairobi via Garissa are well under way. And the new road between Lamu and Garsen has already reduced transport costs as trucks and travellers no longer need to go via Mombasa.




Once the project’s highway towards Garissa and Isiolo is completed, the former northern “frontier” region may benefit from the connection to the port.
But there are big question marks when it comes to the overall economic value of a second Kenyan deep-water port. This concern is driven by the deficient infrastructural integration of Lamu and Northern Kenya.

Logistics experts also warn that Lamu port has formidable potential to become a white elephant project because of the immense uncertainties about its core use.

What have been the big issues around construction?​

Planning and construction of the port have yielded a wide range of concerns and contestations, particularly on land rights, the environment, local livelihoods and security.

Different rights groups have documented numerous complaints by residents about compulsory land acquisition. One studyfound that the government had taken more land than it paid compensation for.

Another major concern touches on the environmental impact of the port’s construction, some of which came to light in a 2018 High Court ruling.
And local protests against the project have been met with harassment by Kenyan security forces.

The economic livelihoods of hundreds of local fishermen will be disrupted by the port because its extensive restricted area restrains access to viable fishing grounds. And in contravention of a court ruling that awarded fishers about KSH1.7 billion (US$ 18.4 million) compensation for their economic losses, the government has delayed the payments over disagreements about the list of beneficiaries and the mode of compensation.

Concerns about employment opportunities to residents are also growing. So far, around 100 youths from Lamu have secured employment at the Lamu port.

Lastly, there are security concerns. In the last 15 years or so, Lamu has become a highly volatile region. Attacks by the al-Shabaab militant group have brought violence to the area and turned it into a highly securitised region. Security operations have significantly reduced insecurity incidences. But periodic al-Shabaab attacks have affected construction activities.

How should these concerns be handled?​

The concerns from the community are weighty and require serious attention since they affect many aspects of their daily lives.

Our ongoing research shows that many of the concerns could have been averted if due process had been followed from the project’s inception. This includes timely and adequate compensation to everyone affected by the project. It also includes proper and robust environmental and social impact assessments as well as considering qualified residents for employment opportunities. Finally, there’s the issue of addressing the perennial problems of land rights in Lamu.

It’s vital that Lamu residents are treated as direct stakeholders and partners to the project. Their voices, concerns and aspirations should be taken seriously.

 
Back
Top Bottom