Tuliza kamdomo tupo kazini. Usilihamshe dude. Mimi nilihaidi kuwaletea matokeo ya NASA. Wapo wengi wenye connection na Jubilee hapa tupokikazi zaidi. Kuna information nyingi za ndani nimepata na mbaya lakini nisinge penda kuzitengenezea thread. Nachojua huu uchaguzi utaisha salama. Lakini naza Jubilee zitapatikana humu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] haya Mzee , all the bestTuliza kamdomo tupo kazini. Usilihamshe dude. Mimi nilihaidi kuwaletea matokeo ya NASA. Wapo wengi wenye connection na Jubilee hapa tupokikazi zaidi. Kuna information nyingi za ndani nimepata na mbaya lakini nisinge penda kuzitengenezea thread. Nachojua huu uchaguzi utaisha salama. Lakini naza Jubilee zitapatikana humu.
Usihofu. Kombe la ushindi mnalo mkononi.
Okay then!!!Nilikimbia hapa nikidhani NASA wameanza kuhesabu kura hata kabla hazijaanza kupigwa! Hawa jamaa ni machizi hilo si jambo kubwa kwao. Tayari wameshajiona wako state house, wakati kura sisi ndo tunazo.
Naya jubilee yatapatikana hapa.Link ya Jubelee
JPM Baki
Kwani unamaanisha unajua mshindi? Jubilee ndio itashinda?Usihofu. Kombe la ushindi mnalo mkononi.
Haha its never that serious. Usihofu. Mambo si mabaya sanaNina wasiwasi damu nyingi sana kumwagika. Wengi wameikimbia Nairobi na wengine hata kuikimbia Kenya na kuingia Tanzania kwa wingi. Wakenya wengi wana hofu kubwa kuhusu uchaguzi huu kwamba panga zitacharangana vibaya sana, Mwenyezi Mungu apishilie mbali. Chaguzi za hivi zinatisha sana.
Mambo sio mabaya wakati hapa Arusha gari za Kenya zinafurika kuanzia ijumaa.Haha its never that serious. Usihofu. Mambo si mabaya sana
Mazee nimeona sehemu NASA wanalalamika eti IECB wamefukuza wafanyakazi maeneo ambayo ni ngome yaoNilikimbia hapa nikidhani NASA wameanza kuhesabu kura hata kabla hazijaanza kupigwa! Hawa jamaa ni machizi hilo si jambo kubwa kwao. Tayari wameshajiona wako state house, wakati kura sisi ndo tunazo.
Mazee sio mazuri sana, ila nikiona jinsi watu wanavyokimbia naamini hakutakuwa na fujo. Watu tayar wanaogopa kufa hivyo hawatapigana.Haha its never that serious. Usihofu. Mambo si mabaya sana