Unpomfumania Mkeo kwanini uwe Mbogo??Je yeye akikufumania???

Unpomfumania Mkeo kwanini uwe Mbogo??Je yeye akikufumania???

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Sielewi nini kinachotusababisha tuwe na ubinafsi Fikiria weweunamfumania mkeo kwanza usipo muua utamua uliyemkuta naye au kumdhuru au kitu chochote kinachokaribia hapo!!Sasa inapokuja kwa Wewe mkeo/mpenzi wako kakufuma kwanza utafuta visingizio pili utaki kuukubali ukweli kama umefumaniwa mwisho uishia kusema mke/mpenzi wangu twende tukayamalizie nyumbani!!Nauliza hapa nivigezo gani hutumika kujiona wewe makosa kwako nibahati mbaya!??
 
fumanizi ni kukuta uume uko ndani ya uke. Sioni haja ya kuwa mkali nikimfumania. Ntasafiri zangu na kwenda Kitulo National Park nature ikatibu maumivu yangu ya moyo.
 
Mwanaume kufumaniwa ni ushujaa na urijali: Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja

Mwanamke kufumaniwa ni dhambi na fedheha kubwa. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja tu!

Ukimfumania mwanamke, piga chini.....tafuta mwingine.
Wanawake acheni tabia mbaya ya kuwafuatilia wanaume zenu, mnataka hao wanawake lukuki wasio na wanaume nao wasifaidi? Uchoyo tuuu! Waone kwanza!
 
Mwanaume kufumaniwa ni ushujaa na urijali: Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja

Mwanamke kufumaniwa ni dhambi na fedheha kubwa. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja tu!

Ukimfumania mwanamke, piga chini.....tafuta mwingine.
Wanawake acheni tabia mbaya ya kuwafuatilia wanaume zenu, mnataka hao wanawake lukuki wasio na wanaume nao wasifaidi? Uchoyo tuuu! Waone kwanza!
Yeah, kwa wakristo unaruhusiwa tu kumpiga chini ukimfumania mkeo ana-do na mtu mwingine, ila maandiko yako silent if converse is the case, teh! Anyway, kufanya nje ya ndoa ni dhambi, tafakari.
 
Mwanaume kufumaniwa ni ushujaa na urijali: Mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja

Mwanamke kufumaniwa ni dhambi na fedheha kubwa. Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja tu!

Ukimfumania mwanamke, piga chini.....tafuta mwingine.
Wanawake acheni tabia mbaya ya kuwafuatilia wanaume zenu, mnataka hao wanawake lukuki wasio na wanaume nao wasifaidi? Uchoyo tuuu! Waone kwanza!

HOVYo!
 
kuna sred naiandaa na ikiwa tayari nitalembea hewani, nimeona hapa JF kuna wimbi la kulinganisha wanaume na wanawake. Lazima tukubali bana kwamba wanaume na wanawake ni tofauti kihisia, kimaumbile, kimtazamo, kijinsia nakazalika halkazalika, na tukikubali ukweli huu na kila mtu akakubali kubeba nafasi yake katika jamii, hapo dunia itakuwa paradiso ndogo. Amen!
 
kuna sred naiandaa na ikiwa tayari nitalembea hewani, nimeona hapa JF kuna wimbi la kulinganisha wanaume na wanawake. Lazima tukubali bana kwamba wanaume na wanawake ni tofauti kihisia, kimaumbile, kimtazamo, kijinsia nakazalika halkazalika, na tukikubali ukweli huu na kila mtu akakubali kubeba nafasi yake katika jamii, hapo dunia itakuwa paradiso ndogo. Amen!

Mwingine huyo!
 
Wanaohalalisha mambo ya ajabu kwa visingizio vya tofauti kati ya mwanamke na mwanaume!
sayansi inathibitisha, maumbile yanathibitisha , imani zinathibitisha . Beijing peke yake ndio inakanusha tena bila sabab za msingi. naomba uniconvince ili niamini adhawaizi
 
sayansi inathibitisha, maumbile yanathibitisha , imani zinathibitisha . Beijing peke yake ndio inakanusha tena bila sabab za msingi. naomba uniconvince ili niamini adhawaizi
Ningekukomvinsi sema baada ya somo utaishia kua king'ang'anizi so bora nikuache uendelee kupotoka!
 
Ningekukomvinsi sema baada ya somo utaishia kua king'ang'anizi so bora nikuache uendelee kupotoka!
katika principle zangu za maisha hakuna neno king'ang'anizi.
bek to ze topik: kinachoshangaza ni kwamba mnaona kabisa matiti yamewekwa kifuani kwa mwanamke halaf mnataka mwanaume ndio anyonyeshe mtoto. sasa hapa ndio nafeli somo!
 
katika principle zangu za maisha hakuna neno king'ang'anizi.
bek to ze topik: kinachoshangaza ni kwamba mnaona kabisa matiti yamewekwa kifuani kwa mwanamke halaf mnataka mwanaume ndio anyonyeshe mtoto. sasa hapa ndio nafeli somo!

Mnyonyeshe nini?Vidole eeh?Swala hapa ni nyie kuona mna haki ya kufanyia wanawake ushenzi ila wao hawana!
 
Sielewi nini kinachotusababisha tuwe na ubinafsi Fikiria weweunamfumania mkeo kwanza usipo muua utamua uliyemkuta naye au kumdhuru au kitu chochote kinachokaribia hapo!!Sasa inapokuja kwa Wewe mkeo/mpenzi wako kakufuma kwanza utafuta visingizio pili utaki kuukubali ukweli kama umefumaniwa mwisho uishia kusema mke/mpenzi wangu twende tukayamalizie nyumbani!!Nauliza hapa nivigezo gani hutumika kujiona wewe makosa kwako nibahati mbaya!??

Mkuu upo kwenye very thin line kuna mambo mengi sana ya kuangalia kabla ya kuja na jibu. Kwanza ni mila, pili ni dini gani unaikubali na tatu maadili ya wazazi wako. Zingatia kama ni dini inasema nini, kama ni mila nani mkuu wa nyumba na maadili kutoka kwa wazazi wako etc.

Mfano kiafrika nani hutoa mahali na mahali huliwa na nani? Je kama hakuna mahali mipaka ipo vipi kati ya mke na mume?
 
Mnyonyeshe nini?Vidole eeh?Swala hapa ni nyie kuona mna haki ya kufanyia wanawake ushenzi ila wao hawana!

kabla kuendelea labda nikuulize, una moyo wa huruma?, kuna suala litafatia
 
kabla kuendelea labda nikuulize, una moyo wa huruma?, kuna suala litafatia

Kwa nani?Labda kwa mwana/wanangu tu!Kwa wa aina yako sina kabisa!Mtu akifanya mchezo nampiga na mpini wa kichwa!Enhe...........?
 
Kamanda naomba umpe Liz nafasi apumzike unamuandama kila thread ? you have been warned.
Uporoto dearest you have been missed!Achana na Kloro anadhani bado anapatikana famasi na mimi namjulisha hata kwa bei ya bure chini ya kaunta hamna anaemtaka!
 
Kamanda naomba umpe Liz nafasi apumzike unamuandama kila thread ? you have been warned.
hehehe kamanda JF bila lizzy ni sawa na ugoro bila chafya, yaani hainogi. halaf michelle umempeleka wapi?
 
Kwa nani?Labda kwa mwana/wanangu tu!Kwa wa aina yako sina kabisa!Mtu akifanya mchezo nampiga na mpini wa kichwa!Enhe...........?
suala la nyongeza cancelled! lakini kuna point nilitaka kukupa kama ungejibu vere honest.
 
Back
Top Bottom