Unpopular Opinion: Kibegi cha jezi za Simba kimefunika kelele zote za Yanga kuanzia Wiki ya Mwananchi hadi Usajili wao

Unpopular Opinion: Kibegi cha jezi za Simba kimefunika kelele zote za Yanga kuanzia Wiki ya Mwananchi hadi Usajili wao

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.

Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha.

Kibegi kimekuwa kikifatiliwa mitandaoni kuliko taarifa za wiki ya wananchi na ule usajili wa namba 6.

Hakika Simba nimewavulia kofia, natamani timu yangu ya Namungo iige hii.
72063BE6-ADAA-4A20-9B5C-EA09E3FF916F.jpeg

87DE1713-383E-4498-9E2B-53949E04BA2F.jpeg
FC23E8B4-5B01-40B4-8072-5F6E150BDE31.jpeg
 
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.

Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha.

Kibegi kimekuwa kikifatiliwa mitandaoni kuliko taarifa za wiki ya wananchi na ule usajili wa namba 6.

Hakika Simba nimewavulia kofia, natamani timu yangu ya Namungo iige hii.
View attachment 2692732
View attachment 2692733View attachment 2692734
Kushangilia ki begi lazima uwe na akili ndogo.
Watu wanafanya mambo yao wewe unaleta kibegi ?!.

Timu yenyewe imeenda Uturuki kwa mafungu ka nyanya!!. Upumbavu huu
 
Kushangilia ki begi lazima uwe na akili ndogo.
Watu wanafanya mambo yao wewe unaleta kibegi ?!.

Timu yenyewe imeenda Uturuki kwa mafungu ka nyanya!!. Upumbavu huu
Mana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.
 
Mana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.
Wanafurahia kusajili Onyango wao
 
Yanga tumeshatambulisha begi tunazo mtaani
Jersey za ikulu
Nyie bado mnazurula na jersey hadi leo
 
Mana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.
 

Attachments

  • 20230717_100551.jpg
    20230717_100551.jpg
    75.3 KB · Views: 6
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.

Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha.

Kibegi kimekuwa kikifatiliwa mitandaoni kuliko taarifa za wiki ya wananchi na ule usajili wa namba 6.

Hakika Simba nimewavulia kofia, natamani timu yangu ya Namungo iige hii.
View attachment 2692732
View attachment 2692733View attachment 2692734
A2EE839D-4B52-4F92-A082-E51B9B7C6E54.jpeg
 
Back
Top Bottom