Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kushangilia ki begi lazima uwe na akili ndogo.Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.
Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha.
Kibegi kimekuwa kikifatiliwa mitandaoni kuliko taarifa za wiki ya wananchi na ule usajili wa namba 6.
Hakika Simba nimewavulia kofia, natamani timu yangu ya Namungo iige hii.
View attachment 2692732
View attachment 2692733View attachment 2692734
sana kwa kweliMpira wa Nchi hii una vituko sana[emoji1787]
Watanzania tuna akili zetu kivyetuvyetu.sana kwa kweli
ni timu yangu lakini sioni faida ya hili
Mana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.Kushangilia ki begi lazima uwe na akili ndogo.
Watu wanafanya mambo yao wewe unaleta kibegi ?!.
Timu yenyewe imeenda Uturuki kwa mafungu ka nyanya!!. Upumbavu huu
Wanafurahia kusajili Onyango waoMana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.
Mana kwanza ncheke. Kuna timu bado siku tatu inacheza kwenye siku yao na wachezaji muhimu hata hawajulikani wapo hai ama wamekufa maana kambini hawapo na mtaa ni hawaonekani. Bangala anatafutwa, Shabani Djuma amepotea, Jigi jiara haeleweki, Aucho simu imeisha chaji, Azizi Ki kawaambia hatii pua yake kambini mpaka wammalizie pesa yake ya usajiri vinginevo watafikishana mbali, na mbaya zaidi anajuta kwanini hakwenda kucheza simba club inayojielewa.. Yaani tafrani tuu.
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii.
Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa ndege kutoka Dar kwenda Kilimanjaro. Kila anapopita vibe ni kubwa na watu wanaomba wapige nae picha.
Kibegi kimekuwa kikifatiliwa mitandaoni kuliko taarifa za wiki ya wananchi na ule usajili wa namba 6.
Hakika Simba nimewavulia kofia, natamani timu yangu ya Namungo iige hii.
View attachment 2692732
View attachment 2692733View attachment 2692734
Daah๐คฃNDO MAKOMBE YENU HAYA