Unpopular Opinion: Liverpool hatotwaa taji lingine msimu huu

Namshangaa jurgen klop bado anahangaika na mechi za EPL kwanini? hizo mechi za EPL zilizosalia atumie under 23 squad....klop nae!
 
Mkuu Liverpool wameshakujibu huko,kombe la pili (fa cup) hilo kabatini. Ongea na moderators waufute huu upuuzi wako.
 
Mimi huko kistone: Oya wana ngoja ngoja niende kule JF baada ya haya matokeo nikasome comments za wadau maana kuna uto mmoja kasema eti vijogoo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.
Vijogoo tunasubiri hiyo ndoo ya uefa kwa habari yako
 
Unasemaje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…