Unpopular Opinion: Liverpool hatotwaa taji lingine msimu huu

Unpopular Opinion: Liverpool hatotwaa taji lingine msimu huu

Kwenye F.A Cup weekend hii ni fainali ya Liverpool Vs Chelsea, hapa naona kabisa Chelsea wanavyoenda kubebea ndoo kutokana na Liverpool kumkosa kiungo wao Fabinho aliye majeruhi. Pia Chelsea ataitumia mechi hiyo kulipa kisasi cha Fainali ya Carabao.
Tulizome,, hiloooooooooooooo!!
 
Mkuu KOBISI ulipita mulemule kuhusu Uefa
 

Attachments

  • 7F7CC7DB-BC22-4461-96BA-6E103E14F773.jpeg
    7F7CC7DB-BC22-4461-96BA-6E103E14F773.jpeg
    75.7 KB · Views: 15
Back
Top Bottom