Unpopular Opinion: Liverpool hatotwaa taji lingine msimu huu

Hapo kwa Madrid umechambua vizuri sana...irudiwe
 
Asante kwa appreciation
 
Wakati beki za liverpool zinawazuia washambuliaji wa benfica robo fainali.. beki za madrid zilikuwa zinamzuia mbape, neymar na wakali kibao wa psg wasipate goli

Nusu fainali pia wakati beki za liverpool zinazuia washambuliaji wa bei rahisi wa villareal wasipate goli.. beki za madrid zilikuwa zinazuia kevin da bruyne, riad mahrez, foden, na wakali kibao wa man city wasipate goli.

Hiyo tu inakupa picha.. njia ya liverpool kufika final nyepesi sana..

Huwezi kutwaa kombe kwa kumfunga inter milan hatua ya mtoano , then benfica robo na villareal nusu final.. huku mwenzako anamfunga psg na man city. Liverpool alikuwa kama anacheza europa league weak teams tupu

Liverpool hakuwa tested mpaka anafika fainali..

Angepitishwa njia aliyopita madrid asingetoboa
 
Mimi huko kistone: Oya wana ngoja ngoja niende kule JF baada ya haya matokeo nikasome comments za wadau maana kuna uto mmoja kasema eti vijogoo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.
Vijogoo tunasubiri hiyo ndoo ya uefa kwa habari yako
Endelea kusubiri usichoke
 
Sahii kabisa[emoji4][emoji106]
 
KOBISI & Pain killer nawasalimia bana ....

Si matusi yetu uwanjani tu.

CARABAO ✅
FA ✅
UEFA = soon
EPL = loading......

Kazi kwako.

#YNWA
Time has already told us that you were nothing that special and again yesterday your players failed to score a single goal on open play including the other two finals [FA and Carabao]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…