Samatta huyuhuyu aliyecheza tout puissant mazembe, Krc genk, Aston villa, fenerhbache na sasa royal antwerp unamlinganisha na mchezaji wa umiseta? Ili samatta uone kazi yake apate wenzake wa namna yake!
MPENI HESHIMA Mfungaji bora wa CAF, na mchezaji bora ligi ya ubelgiji