Najiuliza swali hili: Hawa mawakili wawili aliowasema Mnyika Kaduchi na Nchimbi“ together with this Magistrate of Kisutu, name withheld for judicial ethics) kuwa wana mchezo wa kuchelewesha haki kuwatesa akina Mbowe na matiko (na huko nyuma Lema)si wana kosa hili ambalo aliliainisha wakili mashuhuri huko Kenya: "aren’t these officers guilty of abuse of office charge for abusing their investigative, crime reading and prosecutorial powers which acts tend to lower the authority and dignity of the court and DPP's office" ?
Huko nyuma jaji wa mahakama ya Rufaa Bernard Luanda katika kesi ya Lema, alikemea vikali tabia hii ya kuchezea haki na hadhi ya mahakama, akaonya tabia hii ikome. Wamerudia ushetani huo huo!
Mahakama ya Rufani si ndio imepewa/imepata mwanya wa kubatilisha ile rule kuwa uki lodge notice of appeal the High court ceases to have jurisdiction on the case pending in that court? Mwanahabari Huru
Huko nyuma jaji wa mahakama ya Rufaa Bernard Luanda katika kesi ya Lema, alikemea vikali tabia hii ya kuchezea haki na hadhi ya mahakama, akaonya tabia hii ikome. Wamerudia ushetani huo huo!
Mahakama ya Rufani si ndio imepewa/imepata mwanya wa kubatilisha ile rule kuwa uki lodge notice of appeal the High court ceases to have jurisdiction on the case pending in that court? Mwanahabari Huru