UNSC: Azimio uchwara la Marekani kusimamisha vita Gaza lapigwa Munda

UNSC: Azimio uchwara la Marekani kusimamisha vita Gaza lapigwa Munda

Hiyo Azimio nyingine inaletwa na nani? Na unajipa uhakika gani kuwa haitakuwa na changamoto ya kupingwa pia na wajumbe?

1. Kupigania haki ni wajibu wa Kila mwenye kujitambua.

2. Yameshaletwa maazimio kadhaa ya kusimamisha vita yaliyokataliwa na Marekani peke yake.

3. Hili lilikuwa lake la kwanza la kizezeta zezeta alilokuwa ameleta Sasa.

4. Zingatia hili #3 limepingwa na nchi zote za kiarabu + China na Russia.

5. Linalokuja haijalishi litapita au halitapita ila litakuwa na maana kamili ya kutaka kusimamisha vita.

6. Lilikuwa lipigiwe kura leo limeahirishwa Hadi jumatatu.

7. Jipya linaletwa na wengine ila siyo huyu ndumila kutatu.
 
1. Kupigania haki ni wajibu wa Kila mwenye kujitambua.

2. Yameshaletwa maazimio kadhaa ya kusimamisha vita yaliyokataliwa na Marekani peke yake.

3. Hili lilikuwa lake la kwanza la kizezeta zezeta alilokuwa ameleta Sasa.

4. Zingatia hili #3 limepingwa na nchi zote za kiarabu + China na Russia.

5. Linalokuja haijalishi litapita au halitapita ila litakuwa na maana kamili ya kutaka kusimamisha vita.

6. Lilikuwa lipigiwe kura leo limeahirishwa Hadi jumatatu.

7. Jipya linaletwa na wengine ila siyo huyu ndumila kutatu.
No. 5, vp umeshaisoma na kuona ndiyo bora au unawaza tu.
 
Kwanini wasikemewe Hamas waliolianzisha?
HAMAS walianzisha nini wewe...?
HAMAS wanaendeleza harakati za ukombozi wa Taifa lao ( U.N wanatambua hili).
HAMAS hawataacha kuipambania Ardhi yao kutoka kwenye mikono ya Israel, labda Israel iifutilie mbali Kizazi cha hHAMAS.
 
HAMAS walianzisha nini wewe...?
HAMAS wanaendeleza harakati za ukombozi wa Taifa lao ( U.N wanatambua hili).
HAMAS hawataacha kuipambania Ardhi yao kutoka kwenye mikono ya Israel, labda Israel iifutilie mbali Kizazi cha hHAMAS.
Ndio anachokifanya Netanyahu, kuifuta Hamas kwenye uso wa dunia.
 
Hiyo Azimio nyingine inaletwa na nani? Na unajipa uhakika gani kuwa haitakuwa na changamoto ya kupingwa pia na wajumbe?

Nisiache kukupa nyongeza hii ikiwa ingali ya moto moto na kabla ya mambo yenyewe:

IMG_20240325_074014.jpg


Habari ndiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom