mbona hivyo lakini? but whyyyyyyyyyyyyy? hata wewe Kaizer lol!
hahaha!experience sometimes ni mwalimu mzuri sana. Ujua mi naangalia mazingora ya hoja yenyewe na muda wenyewe
ndo maana tunasikia keleloe nyingi za CCJ, kumbe mwaka wa uchaguzi huu...get my point dear?
.....home B come down.....tukiwa chemba takunong'oneza....zaidi, bt nihakikishie yafuatayo kwa kuweka yes or no!unless you prove it right hommie kwamba BEING SERIOUS IS INVERSELY PROPORTIONAL WITH TIME!....
lack of seriousness ina costs implications zake!...kama unabisha GONGA HAPA!..
.....home B come down.....tukiwa chemba takunong'oneza....zaidi, bt nihakikishie yafuatayo kwa kuweka yes or no!
- ni saa nne usiku NL katoka zake mji kasoro bahari, anakustua....nipo hapa Chawote....uko na bibie home ni miaka miwili tangia muoane...utakuja chawote?........!
YES!...yes yes.....Umetoka ofcn unakutana na foleni kali barabarani, mvua inanyesha tukutuku na mvua noma.....Fidel anakwambia nipo hapa Jambo......nimechoma nyama nasubiri mvua iishe nisepe home, pitia bac. Utapitia??........!
nadhani wifi yako atakuwa sahihi kukuanzishia ndogondogo...!YUPO SAHIHI SANA TU!ni jukumu langu kumwelekeza mazingira halisi ya kazi.....Ni jioni ya Ijumaa hivi upo ofcn, ghafla boc wako anakwambia andaa laptop, marufu, kesho unaenda Ar, kuna project nataka ukaisurvey, utakuwa huko for 5 days unachukia sn kwa kukustua...wifi nyumbani hana taarifa, unampigia cm kumpa brief, anashangaa, unarudi home anakuanzishia ndogo ndogo...sterio type.....Utafurahi???........!
hapana!SITAMTEMBEZEA!different people perceive different matters DIFFERENTLY!....kama mke ana haki zote 99 za ku-react.the question of how to react inategemea na degree of temper ALIYONAYO!..ukweli ni kwamba ukiwa mume wa mtu hupaswi kujenga hayo mazoea!........Hapo nje kidogo ya nyumba yako kuna kigrocery, ukifika jioni hupitia hapo kupata moja mbili ukisubiri home mambo ya madikodiko yakae sawa, anashinda hapo Elize....umezoeana naye sana (not 4 bad), lkn wifi hakuulizi kinachoendelea hapo, anatoka na moto wa Petrol hadi kwa binti wa watu....ukome ukome ukome......!Utamtembezea wifi ilani????........!
hehehe!mimi ni mkristu,nipo against mila..!so hata mimi nitawatosa wazee.....Umejaliwa kupata mtoto wenu wa kwanza, home (nyumba nitu) kula issue za mila hapo, homu wazee kiwango cha elimu ni below std 7,unamwelekeza wifi hiyo issue, anaruka mita 500.....hayo ma-mila yenu siyajui mm! Utawatosa wazee?????........!
hapo ninakiri udhaifu mkubwa kwa wanawake!...i will do my best to save my marriage.....Wifi baada ya kupata mtoto, 80% ya muda wake na malavida yamehamia kwa mtoto........hata ukiingia mlangoni hajui/hastuki, msosi H/G anakuletea, maji bafuni, H/G ndo kazi yake, nguo zote anashughulika nazo H/G....je, 100% ya passion uliyonayo itakuwepo hapo??????........!
well,WIFE yupo sahihi,ndoa ni ya watu wawili NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.......lakini akishindwa kuonyesha respect kwa mzazi ATACHEZEA PERMANENT BAN!.....Mama ako mzazi (assume yupo), kaja, hujawahikubishana naye tangia umeibuka kwake, ameona jinsi mnavyomlea mtoto, hayupo happy, anatoa comments zake.....wifi anakuja juu.....tafadhali mama haya mambo yetu hapa hayakuhusu, wewe tulia kimya.....Je, na wewe utakaa kimya umfurahishe wifi???????........!
akiwa mpwaaz naenda nae,kinyume na hilo atapewa somo ataelewa.hili limefanyika practikale kwenye projekt yangu.....Mnapanga na wapwaz wa JF kwenda vacation mikumi for 3 days, je, utaenda naye pia????????........!
wife wangu si wa taipu hiyo!...anawaheshimu wapwaaz HAIJAPATA TOKEA.....Wapwaz wameishikia bango harusi yenu(wamekusupport), umemaliza lako, GP naye anatangaza lake, unakumbuka wapwazi walivyokuunga mkono, unatamani na unapledge kutoa 100k, wifi naye siku umetoka kuirusha hiyo kitu, anaibuka home na kuleta orodha ya vitu kibao vinamiss home......Je, utafurahi?????????........!
WELL,biashara ya kuperuz simu yangu HAINA NAFASI.kuna call-barrings,na sekyuriti kodes n.k.lakini akinibamba live na mwanamke NI HAKI YAKE KUSUSPECT....!mimi nina jukumu la kuhakikisha namuelewesha!.........NL,Bht, Carmel, ZD,GP,JS,Pretty etc.....ni just ID za JF hapo, una namba zao na umesave hivyo kny cm yako, kwa sababu wifi atakuwa na free access kny cm yako anakutana na majina hayo, tena NL kakufowardia ki-SMS cha ajabu ajabu, GP naye sijui kiibukia wapi....kakutumia''ZE UTAMU''huko....wifi anatulia na cm, anapitia phonebook yote, anakutana na vijina kama hivyo kama 200 hivi....! imani ina mtoka, hawezi kukuuliza pengine, siku nyingine anakukuta town uko na binti mnacheeeeeka we acha tu...anajaribu kuconnect dots na yale majina, sms.....anavimba ile mbaya! kumbe yule binti ni Pearl! Unarudi home, wifi hakukaliki kanuna ghafla na hasemi nini tatizo.....Je, hutatoka uende pale kwa eliza kupata moja mbili?........!
karibu homeboy.......bado I will be back........!
ahsante!...nadhani nina kila sababu ya kupumzika sasa!....G, unaongea mi-point tupu. Ila mkuu timing ya thread yako ndiyo inatufanye tukune vichwa. Nakubaliana na Kaizer uwekwe kwenye Panadol, vidonge 2 kutwa mara tatu (2x3 X 9/14)!! Uchungulie walau kutwa tu na kusepa ili ujiandae. Utajiandaa saa ngapi wakati kila saa unachungulia "New Posts". Be careful, kuna watu wakipata tu usingizi, wanaanza kushusha mkanda wa siku nzima, ...come 13/2 someone will be there listening! Mkuu hebu basi chukua walau hiyo "maternity leave ukajiandae". Tutakumiss sana ila ni poa kwa afya yako!!
Mie nilidhani ushafika Mkambako tayari.kumbe bado upo Kimara.ahsante!...nadhani nina kila sababu ya kupumzika sasa!....
....i am talking of the serious COMMITMENTS!....unajua kuna watu wanawaaproach madada za watu kwa gia za kuwaoa kumbe wanawatumia na ku-wafrustrate!
kuna wengine wanawaoa mabinti za watu then wanaanza kuwafrustrate kwa ku-cheat na kutoka nje!
no, utajishika pabaya wewe mwenyewe ujikute unabadilisha id, shauri yako.hehehe!
Nimewashika pabaya eeh!?....:d
Hapa leo kuna nini? Hahaha! Naona mafundisho ya ndoa yamekamata. Kumbe mpo makamanda? Nlifikiri Muro kawapotezea. Anyway, i better be SERIOUS! Jamani mkimwona ZIONDAUGHTER mwambieni its over btn us! Am now very very and VERY SERIOUS with My CHARITY!......... Lolz! Hizi mila nani atadumisha sasa? I better think twice......... Anyway: Huku Makambako gesti zinakaribia kujaa. Fanyeni booking fastafasta. (sio off topic hii, i bet)
...what is wrong with men?....kwanin watu hawapo serious na relations zao?....agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
YES!....i hate it,i hate it so much
70%-of men involved in SERIOUS RELATIONSHIPS ARE NOT SERIOUS!.....ndio,lazima tuelezane ukweli
unapokuwa very unserious:
-YOU HURT YOUR PARTNER!..
-UNAMFANYA MTUMWA
-UNAMPOTEZEA MUDA WA KUFIKIRIA MASWALA YA MSINGI
-UTATENDA DHAMBI KUBWA SANA MBELE YA MWENYEZI MUNGU
-UNAMTENGENEZEA MWENZIO STRESSES NA PRESSURE BILA HURUMA
i have seen it:-kuna mama mmoja wa makamo kwa sasa ana kisukari na pressure SIJAPATA KUONA...!anatembea na sindano anajichoma mwenyewe sasa!...tatizo ni lack of seriousness ya HUSBAND WAKE!she is dying slowly now!
I HATE IT!.....I HATE UNSERIOUS PARTNERS..!this is murder!....