.....NL,Bht, Carmel, ZD,GP,JS,Pretty etc.....ni just ID za JF hapo, una namba zao na umesave hivyo kny cm yako, kwa sababu wifi atakuwa na free access kny cm yako anakutana na majina hayo, tena NL kakufowardia ki-SMS cha ajabu ajabu, GP naye sijui kiibukia wapi....kakutumia''ZE UTAMU''huko....wifi anatulia na cm, anapitia phonebook yote, anakutana na vijina kama hivyo kama 200 hivi....! imani ina mtoka, hawezi kukuuliza pengine, siku nyingine anakukuta town uko na binti mnacheeeeeka we acha tu...anajaribu kuconnect dots na yale majina, sms.....anavimba ile mbaya! kumbe yule binti ni Pearl! Unarudi home, wifi hakukaliki kanuna ghafla na hasemi nini tatizo.....Je, hutatoka uende pale kwa eliza kupata moja mbili?........!