UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots


...mkumbusheni 14th Feb ni Valentines day, asisahau kununua japo Bouquet la maua... akishaanza kusahau-sahau kwenye ndoa cha mto atakiona!
 
Hapo umenena wangu...lakini mbona hata hiyo security yenywe siku hizi inaonekana kupotelea kwa small houses! na bado sie tumo tuu. I think here our security master is only "Jesus Christ" kwa wenye imani kama yangu.


Penny, don't be naive sister! Hapa mchezo ni "kula na wewe uliwe". Usitegemee security wakati wewe huitoi! Kwanza mwanamume hana demand kubwa kwa mke wake. Ni kidogo tu. Maneno machache sana lakini yale matamu na huduma ya kumwaga. Akiondoka huyo au aki-break your hear ujue karogwa. Mnatoa hivyo bila kuwapimia?
 
...mkumbusheni 14th feb ni valentines day, asisahau kununua japo bouquet la maua... akishaanza kusahau-sahau kwenye ndoa cha mto atakiona!
noted!....:d
 
Hapo umenena wangu...lakini mbona hata hiyo security yenywe siku hizi inaonekana kupotelea kwa small houses! na bado sie tumo tuu. I think here our security master is only "Jesus Christ" kwa wenye imani kama yangu.

....Please rejea post ya DC hapo chini! .....mnatakiwa kuwa just kama betry kwenye gari......kazi moja tu....Ku start gari, then safari nzima betry haihusiki sana!

 
....Please rejea post ya DC hapo chini! .....mnatakiwa kuwa just kama betry kwenye gari......kazi moja tu....Ku start gari, then safari nzima betry haihusiki sana!
hommmie nitakupigia sasa hivi....!siku zimekwisha
 
UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it a lots

Lugha za watu kama zinatupiga chenga ni vizuri kuandika kwa lugha yetu tu.
 
Hicho ni kiingredha cha mainjinia.Toka lini injinia lugha ikapanda.Inabidi tuanze inglish kozi.
MWAMBIE MAMA!....
anasahau kujadili sredi anajifanya mwalimu wa UPE
 

Jamani mbona mna vitisho namna hii?Mnawafanya watu waogope sasa.
 
.....Ni kweli baadhi ya wanaume hawapo serious, lakini kama mwanamke una msimamo na maisha yako mie sioni sababu ya kufa na pressure kwa ajili ya mwanaume ambaye mmekutana naye wote mkiwa na meno 32.

Kweli unampenda mumeo lakini isifike kiasi cha yeye kukutesa hadi ufikie kuumwa kwa ajili yake, maisha yenyewe mafupi haya na mtu unaishi mara moja tu.
 
Today, 09:54 AM
Charity This message has been deleted by Charity.


uliandika nini hapo chariti?.....😀
 
...!take them to court!...all unserious men should be taken to court

Mhh G, sasa mapuziko gani tena? Itabidi sasa tuombe msaada kwa wahusika ili ulazimishwe kwenda au tukutafutie nusu kaputi laini laini ili uwe kama umepata ka- wine kidogo?

Tunapeleka kortini chanzo au matokeo? Nahofia unaweza kuwa mtego wa panya!
 
Mhh G, sasa mapuziko gani tena? Itabidi sasa tuombe msaada kwa wahusika ili ulazimishwe kwenda au tukutafutie nusu kaputi laini laini ili uwe kama umepata ka- wine kidogo?

Tunapeleka kortini chanzo au matokeo? Nahofia unaweza kuwa mtego wa panya!
hehehe!
naona jf ni kama drugs kwangu

NGOJA NISEPE
 

Poa na ni kweli P,

Nimesikia sana hiyo sentensi toka kwa mdau wangu. Kwani huwa inafundishwa kwenye "girls' hostel"?
 
Lugha za watu kama zinatupiga chenga ni vizuri kuandika kwa lugha yetu tu.

.......ulielewa alichotaka kusema? if yes, haikuwa lazima sana kuweka hiyo comment yako, FYI hili si jukwaa la Lugha mzee......! mwaga mapwenti ya kimahusiano, urafiki na mapenzi tu hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…