Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe!..kwasababu ndivyo inavyotokeawhaaaaatttt?Charity! wanavyogeukaga huwezi jielewa/elewa tatizo ni nini na limeanzia wapi na kwanini limeanza....hata wangekaa miaka 20...charity....charity...charity......
...yaah!..hii ni serious analysis!nimeshainoteTatizo kubwa sasa kwa mfano kwenye ndoa kuna watu wanaolewa /kuoa kutimiza wajibu tu - BP za kufikia
kwenye mahusiano tumekuwa na ile hali kila mmoja yuko juu ya mwenzio mtu unawaza hata akiniacha sina mpango wanaume/ wanawake wengi I DON'T CARE, WITHOUT HIM /HER I WILL MANAGE MY SELF ... Presha za Kufikia
yaani tumekuwa na mapenzi ya kutegesheana /kuchunguliana moyoni kwa nini mtu usipate hizo presha _
Bahati mbaya wanaume wasichokijua ni kuwa - your wife/ galfriend its the only worst enemy you sleep with in the same bed- she can kill you at any time tea. Basi tu.
Unakuta jitu linakuletea mwanamke ndani na kukupiga na kashfa za kila aina na bado likufanyie kama yule aliyesema mumewe anamtaka kinyume na maumbile kwa nguvu- yaani halafu usiku mtu anakoroma peacefully ah[/QUOTE]
hapo ndio wazo linakujia umfunike na mto ajifie pole pole.....lol
Nakubaliana na wewe!..kwasababu ndivyo inavyotokea
but...
I WANNA BE THE CHANGE I WISH TO SEE IN THIS WORLD!...in jesus name naamini nitakuwa!
wewe upo kwenye ndoa...!NIPE MSIMAMO WAKO!...ninachokiongelea hapa HAKIJANITOKEA...!nimeona kinatokea,na ninaamini hakihitaji uwe na ndoahii sredi ipo biased kwa sababu:
1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako
4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze
BORA YESHE
hii sredi ipo biased kwa sababu:
1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako
4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze
BORA YESHE
hii sredi ipo biased kwa sababu:
1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako
4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze
BORA YESHE
kama nimekosea ni vyema nikaeleweshwa..!adhawaisi tusitetee maovu!lol...
TUWE WAKWELI!
YES!....i hate it,i hate it so much
70%-of men involved in SERIOUS RELATIONSHIPS ARE NOT SERIOUS!.....ndio,lazima tuelezane ukweli
unapokuwa very unserious:
-YOU HURT YOUR PARTNER!..
-UNAMFANYA MTUMWA
-UNAMPOTEZEA MUDA WA KUFIKIRIA MASWALA YA MSINGI
-UTATENDA DHAMBI KUBWA SANA MBELE YA MWENYEZI MUNGU
-UNAMTENGENEZEA MWENZIO STRESSES NA PRESSURE BILA HURUMA
i have seen it:-kuna mama mmoja wa makamo kwa sasa ana kisukari na pressure SIJAPATA KUONA...!anatembea na sindano anajichoma mwenyewe sasa!...tatizo ni lack of seriousness ya HUSBAND WAKE!she is dying slowly now!
I HATE IT!.....I HATE UNSERIOUS PARTNERS..!this is murder!....
sikuwa biased!...niliacha opportunity kwa watu kujadii THE OTHER SIDE OF LIFE!....Hapo kwenye red ndipo ulipokosea, umekuwa biased.....!!! Badala ya kuongea ukweli ulivyo, wewe unaongea kile ambacho wanawake wangependa kusikia!
sikuwa biased!...niliacha opportunity kwa watu kujadii THE OTHER SIDE OF LIFE!....
na mimi nimeandika nilichokiona!
SORRY
kama nakosea,just tell me!I ACCEPT CHALLENGESYou will get to know them slowly....!!!
hii sredi ipo biased kwa sababu:
1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako
4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze
BORA YESHE
nitaappreciate kama nitaambiwa where did i go wrong..!