UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

And the days are number to 13th Feb 2010. We pray to God that you will practice what you are preaching here Geoff. All the best!
LET'S PRAY!wanaoweza hawatumii dawa!...
MAISHA NI KUAMUA!
 
Tatizo kubwa sasa kwa mfano kwenye ndoa kuna watu wanaolewa /kuoa kutimiza wajibu tu - BP za kufikia

kwenye mahusiano tumekuwa na ile hali kila mmoja yuko juu ya mwenzio mtu unawaza hata akiniacha sina mpango wanaume/ wanawake wengi I DON'T CARE, WITHOUT HIM /HER I WILL MANAGE MY SELF ... Presha za Kufikia

yaani tumekuwa na mapenzi ya kutegesheana /kuchunguliana moyoni kwa nini mtu usipate hizo presha _
 
Bahati mbaya wanaume wasichokijua ni kuwa - your wife/ galfriend its the only worst enemy you sleep with in the same bed- she can kill you at any time tea. Basi tu.

Unakuta jitu linakuletea mwanamke ndani na kukupiga na kashfa za kila aina na bado likufanyie kama yule aliyesema mumewe anamtaka kinyume na maumbile kwa nguvu- yaani halafu usiku mtu anakoroma peacefully ah
 
whaaaaatttt?Charity! wanavyogeukaga huwezi jielewa/elewa tatizo ni nini na limeanzia wapi na kwanini limeanza....hata wangekaa miaka 20...charity....charity...charity......
Nakubaliana na wewe!..kwasababu ndivyo inavyotokea

but...

I WANNA BE THE CHANGE I WISH TO SEE IN THIS WORLD!...in jesus name naamini nitakuwa!
 
Tatizo kubwa sasa kwa mfano kwenye ndoa kuna watu wanaolewa /kuoa kutimiza wajibu tu - BP za kufikia

kwenye mahusiano tumekuwa na ile hali kila mmoja yuko juu ya mwenzio mtu unawaza hata akiniacha sina mpango wanaume/ wanawake wengi I DON'T CARE, WITHOUT HIM /HER I WILL MANAGE MY SELF ... Presha za Kufikia

yaani tumekuwa na mapenzi ya kutegesheana /kuchunguliana moyoni kwa nini mtu usipate hizo presha _
...yaah!..hii ni serious analysis!nimeshainote
 
Bahati mbaya wanaume wasichokijua ni kuwa - your wife/ galfriend its the only worst enemy you sleep with in the same bed- she can kill you at any time tea. Basi tu.

Unakuta jitu linakuletea mwanamke ndani na kukupiga na kashfa za kila aina na bado likufanyie kama yule aliyesema mumewe anamtaka kinyume na maumbile kwa nguvu- yaani halafu usiku mtu anakoroma peacefully ah[/QUOTE]


hapo ndio wazo linakujia umfunike na mto ajifie pole pole.....lol
 
Nakubaliana na wewe!..kwasababu ndivyo inavyotokea

but...

I WANNA BE THE CHANGE I WISH TO SEE IN THIS WORLD!...in jesus name naamini nitakuwa!

Geoff
Naona kweli umeamua kuwa '' More Ethical 2010''
Inshallah na hata mimi nakutakia kila lakheri.
 
hii sredi ipo biased kwa sababu:

1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako

4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze

BORA YESHE
 
hii sredi ipo biased kwa sababu:

1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako

4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze

BORA YESHE
wewe upo kwenye ndoa...!NIPE MSIMAMO WAKO!...ninachokiongelea hapa HAKIJANITOKEA...!nimeona kinatokea,na ninaamini hakihitaji uwe na ndoa
 
hii sredi ipo biased kwa sababu:

1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako

4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze

BORA YESHE

Binamu naona unamwaga pointi za kufa mtu.......!!! Au kwa kuwa leo ni Ijumaa nini? Ooops! Kumbe ni bado ni Alhmaisi...!!!
 
hii sredi ipo biased kwa sababu:

1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako

4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze

BORA YESHE

imekaa njema hiyo mr.
 
Binamu naona unamwaga pointi za kufa mtu.......!!! Au kwa kuwa leo ni Ijumaa nini? Ooops! Kumbe ni bado ni Alhmaisi...!!!
kama nimekosea ni vyema nikaeleweshwa..!adhawaisi tusitetee maovu!lol...

TUWE WAKWELI!
 
kama nimekosea ni vyema nikaeleweshwa..!adhawaisi tusitetee maovu!lol...

TUWE WAKWELI!

YES!....i hate it,i hate it so much

70%-of men involved in SERIOUS RELATIONSHIPS ARE NOT SERIOUS!.....ndio,lazima tuelezane ukweli

unapokuwa very unserious:
-YOU HURT YOUR PARTNER!..
-UNAMFANYA MTUMWA
-UNAMPOTEZEA MUDA WA KUFIKIRIA MASWALA YA MSINGI
-UTATENDA DHAMBI KUBWA SANA MBELE YA MWENYEZI MUNGU
-UNAMTENGENEZEA MWENZIO STRESSES NA PRESSURE BILA HURUMA


i have seen it:-kuna mama mmoja wa makamo kwa sasa ana kisukari na pressure SIJAPATA KUONA...!anatembea na sindano anajichoma mwenyewe sasa!...tatizo ni lack of seriousness ya HUSBAND WAKE!she is dying slowly now!

I HATE IT!.....I HATE UNSERIOUS PARTNERS..!this is murder!....

Hapo kwenye red ndipo ulipokosea, umekuwa biased.....!!! Badala ya kuongea ukweli ulivyo, wewe unaongea kile ambacho wanawake wangependa kusikia!
 
Hapo kwenye red ndipo ulipokosea, umekuwa biased.....!!! Badala ya kuongea ukweli ulivyo, wewe unaongea kile ambacho wanawake wangependa kusikia!
sikuwa biased!...niliacha opportunity kwa watu kujadii THE OTHER SIDE OF LIFE!....

na mimi nimeandika nilichokiona!
SORRY
 
sikuwa biased!...niliacha opportunity kwa watu kujadii THE OTHER SIDE OF LIFE!....

na mimi nimeandika nilichokiona!
SORRY


You will get to know them slowly....!!!
 
You will get to know them slowly....!!!
kama nakosea,just tell me!I ACCEPT CHALLENGES

lakini kutishana kwamba YOU WILL GET TO KNOW THM SLOWLY una maana kali kidogo mkuu!...unataka watu waogope ndoa,au wawaogope wanawake!

kwamba kila anaeoa ni lazima ACHEAT!?

WENZANGU MNA NDOA ZENU!...nisaidieni uzoefu!kila mwenye ndoa ana cheat?
 
hii sredi ipo biased kwa sababu:

1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako

4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze

BORA YESHE


Thanks Kaizer
 
Back
Top Bottom