Untold bitter truth about HALLELUJAH by Diamond

Untold bitter truth about HALLELUJAH by Diamond

Hahaha ila jamani uongo mbaya hii nyimbo zuri aisee sio utani hayo yakununua au asinunue atajua yy kwani hela si zake,...jamaa anausogeza sana mziki wakibongo yaani kuwaweka ndani wakina morgani aise sio kitu kdgo jamaa wale ni wakubwa na wameshinda hadi tuzo za grammy
 
Hiv kuwa na chanel VEVO unatakiwa uwe na vigezo gani (kwa wasanii)
 
"UNTOLD BITTER TRUTH ABOUT 'HALLELUJAH' BY DIAMOND PLATINUMZ.

Karibu tuandike Within principles, Karibu to-unlock the locked story about "Hallelujah.

VIDEO.
This is unlock-truth about "Halleluja. Napenda kua-appreciate ukubwa wa Video hasa kubadilika kwa locations na rangi za Video, Director Moe Musa ameweza kumtoa Diamond "Ulimbukeni na Ushamba" wa kuamini kuwa Video kali ni maferari na majumba makali tu.

AUDIO.
ninaipa 20% tu sababu haina ubunifu wowote zaidi ya kucop melody na vitu vingi kutoka kwenye MashUp ya [HASHTAG]#Myheart[/HASHTAG] ya Diamond & @casspernyovest. Yes ! So kwa kadri navyosikiliza najikuta naimba ile mashup ya Coke Studio, Bila uwepo wa Heritage basi pengine hapa kusingekuwa na kitu kipya kabisa. Hii ni wazi kuwa huenda kipawa cha Mondy cha kushusha mawe mapya kinefikia tamati, ni wakati sasa aanze kuangalia namna ya kupata mtu wa kumsaidia kutunga tungo kali kama za zamani, haiwezi kuwa ajabu kwani tumeona wasanii wengi wakifanya hivi na kure-new their lost glory.

RECORD YOUTUBE. Kwanza hapa inatakiwa tuelewe kwamba, Diamond hayupo vevo kwahyo records yoyote itakayozungumziwa basi tupambanisha na records za Artists waliopo [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] tu, Hivyo Diamond hajavunja record ya @officialalikiba sababu videos zao zipo channel tofauti, kupambanisha [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Vevo[/HASHTAG] huko ni kujitoa ufahamu.

LASTLY: Unaweza ukachukizwa na hii "Untold story" kwa hapa mtandaoni just sababu ya ushabiki but am sure, Wanaofurahia wimbo huu kutoka moyoni kwamba ni mkali ni wachache sana, Common pleasure inayowapa amani wale mashabiki "kindakindaki" ni kuona tu Nyimbo mpya imetoka ambayo ni collabo basi, Number za views ili akomeshwe fulani. I bet hakuna common pleasure inayotakana na ukali wa wimbo wenyewe, hivyo hata life span yake itakuwa ndogo kama maisha ya nzi.

[HASHTAG]#Bolden[/HASHTAG].

386d497b6b27b597cb94618d7a27c6b5.jpg
Uku ni Kuwashwa washwa
 
"UNTOLD BITTER TRUTH ABOUT 'HALLELUJAH' BY DIAMOND PLATINUMZ.

Karibu tuandike Within principles, Karibu to-unlock the locked story about "Hallelujah.

VIDEO.
This is unlock-truth about "Halleluja. Napenda kua-appreciate ukubwa wa Video hasa kubadilika kwa locations na rangi za Video, Director Moe Musa ameweza kumtoa Diamond "Ulimbukeni na Ushamba" wa kuamini kuwa Video kali ni maferari na majumba makali tu.

AUDIO.
ninaipa 20% tu sababu haina ubunifu wowote zaidi ya kucop melody na vitu vingi kutoka kwenye MashUp ya [HASHTAG]#Myheart[/HASHTAG] ya Diamond & @casspernyovest. Yes ! So kwa kadri navyosikiliza najikuta naimba ile mashup ya Coke Studio, Bila uwepo wa Heritage basi pengine hapa kusingekuwa na kitu kipya kabisa. Hii ni wazi kuwa huenda kipawa cha Mondy cha kushusha mawe mapya kinefikia tamati, ni wakati sasa aanze kuangalia namna ya kupata mtu wa kumsaidia kutunga tungo kali kama za zamani, haiwezi kuwa ajabu kwani tumeona wasanii wengi wakifanya hivi na kure-new their lost glory.

RECORD YOUTUBE. Kwanza hapa inatakiwa tuelewe kwamba, Diamond hayupo vevo kwahyo records yoyote itakayozungumziwa basi tupambanisha na records za Artists waliopo [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] tu, Hivyo Diamond hajavunja record ya @officialalikiba sababu videos zao zipo channel tofauti, kupambanisha [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Vevo[/HASHTAG] huko ni kujitoa ufahamu.

LASTLY: Unaweza ukachukizwa na hii "Untold story" kwa hapa mtandaoni just sababu ya ushabiki but am sure, Wanaofurahia wimbo huu kutoka moyoni kwamba ni mkali ni wachache sana, Common pleasure inayowapa amani wale mashabiki "kindakindaki" ni kuona tu Nyimbo mpya imetoka ambayo ni collabo basi, Number za views ili akomeshwe fulani. I bet hakuna common pleasure inayotakana na ukali wa wimbo wenyewe, hivyo hata life span yake itakuwa ndogo kama maisha ya nzi.

[HASHTAG]#Bolden[/HASHTAG].

386d497b6b27b597cb94618d7a27c6b5.jpg
Neno mkuu
 
RECORD YOUTUBE. Kwanza hapa inatakiwa tuelewe kwamba, Diamond hayupo vevo kwahyo records yoyote itakayozungumziwa basi tupambanisha na records za Artists waliopo [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] tu, Hivyo Diamond hajavunja record ya @officialalikiba sababu videos zao zipo channel tofauti, kupambanisha [HASHTAG]#Youtube[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Vevo[/HASHTAG] huko ni kujitoa ufahamu.
Mwingine huyu hapa asiyefahamu what is Vevo account na Vevo Youtube account!!

Yaani wewe ni miongoni mwa wale wasiofahamu kwamba hizo mnazoita Vevo account zinapatikana kwenye Vevo Youtube Channel na ndio maana hizo video zinaweza kuwa accessed hata ukiwa Nanjilinji!!!!

Vevo Account ya Kiba inayokuwa accessed na majority ipo Youtube na sio kwenye Vevo per se kwa sababu huwezi ku-access Vevo from Tanzania! Na kwa maana nyingine, I can bet 99% ya Views wanatokana na Youtube kwa sababu akaunti yake ipo Youtube channel!!!

Look the difference kati ya pure Vevo account na Vevo Youtube Channel account:

Taylor 01.png

Hiyo hapo juu ni Look What You Made Me Do ya Taylor Swift ikiwa kwenye Vevo account!! Now angalia the same video ambayo ipo kwenye Vevo Youtube Channel:

Taylor 02.png

Look, homapage ya screenshot ya juu ina logo ya Vevo wakati ya chini ya chini ni Youtube!!!

Now tell me: Mashabiki wanao-access video ya Kiba, homepage yake ina logo ya Vevo au Youtube?

Likewise, wana-access hiyo video kutokea Vevo au Youtube?!

Guys, Vevo is nothing pasipo na Youtube na ndio maana hata wao wanalipia Youtube kwa ajili ya hizo akaunti mnazoiita za Vevo lakini kimsingi ni Youtube accounts zilizofunguliwa kwenye channel ya Youtube ya Vevo!!!
 
Back
Top Bottom