Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

me and I

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
1,540
Reaction score
1,357
649ea7f6b3b91f3ee124a560e5d884ba.jpg


Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
 
Acha waendelee kujidanganya...
Men lie...
Women lie...
Numbers don't lie..!
Screenshot_20161127-054854.png

 
Kumbe ndiyomaana ndomo na team yake wali-panic sana pale Ommy alivyotoa siri.
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
 
Hizi akili zenu sijui zinafikiria nini?
Ngoja niwaache na ujinga wenu wa ki team, alafu mwambieni king wenu apeleke mziki wake nje ya kko, uyo anaenunua viewers sasa anaangalia soko la ulaya na america,
 
Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] povu limekutoka haswaa.
 
[emoji23] [emoji23] umesema uwaache na ujinga wa kiteam alafu muda huo-huo umechagua team moja.
Wapi nilipochagua team?
Hivi uyo mnaemshabikia ameweza kuutangaza mziki wake nje ya Tz?
Acheni hizo majungu sio mtu yupo ndani ya game miaka zaid ya kumi hata kufanya show uganda hawezi halaf mnataka kumfananisha na mwenzake anaepiga mziki Africa na sasa anaangalia fursa ulaya uko?
 
December 29, 2012

Fake YouTube Views Cut By 2 Billion As Google Audits Record Companies’ Video Channels

Google made good on its promise to weed out views inflated by artificial means last week ( in December 2012), according to Daily Dot. Record company sites impacted included titans like Universal Music Group, which reportedly lost 1 billion of its 7 billion views, and Sony, who lost 850 million views.

The cuts affected marquee names like Rhianna, Beyonce and Justin Bieber. YouTube said in a statement that the figures had been deliberately, artificially inflated.

Music snobs are enjoying a taste of schadenfreude after a massive audit of YouTube video channels cut 2 billion fake views from record company sites.

This was not a bug or a security breach. This was an enforcement of our view count policy,” the company, which is owned by Google, wrote.

The push was enacted to combat hackers and social media promotion sites that built up views and likes on YouTube, making them appear more popular and driving advertising revenue.

Users of sites like YouLikeHits and AddMeFast, popular among so-called black hat social optimizers, bemoaned their losses on forums following the YouTube purge.

According to the YouTube terms of service, users “agree not to use or launch any automated system, including without limitation, ‘robots,’ ‘spiders,’ or ‘offline readers,’ that accesses the Service in a manner that sends more request messages to the YouTube servers in a given period of time than a human can reasonably produce in the same period by using a conventional on-line web browser.”

As news of the cuts spread, some critics suggested other recording artist social media could be similarly manipulated.

While the cuts may be seem dire, not every mega-hit was gravely affected. For example, the count for viral juggernaut “Gangnam Style,” a Universal Music Group jam, is still dancing along at more than 1 billion views, a YouTube record.

This isn’t the first bit of housecleaning implemented by YouTube this year. In October 2012, Kotaku reported that YouTube would start ranking its most popular videos by “engagement” — how long videos are watched — rather than mere view counts.

The blog suggested such a change threatened to knock “Gangnam Style” off of its invisible horse, but it doesn’t appear to have yet.
Source: Fake YouTube Views Cut By 2 Billion As Google Audits Record Companies' Video Channels | The Huffington Post
 
Hii kitu ndio huwa inanifanya nipokee notification za Youtube video upload ambazo sijawahi subscribe?

Mkuu,
Ni kweli na ndiyo maana YouTube/ Google kitambo tangu mwaka 2012 wanafanya uhakiki wa mara kwa mara kuona ''umaarufu'' kuanzia Youtube Account holders binafsi au kampuni na pia account za msanii, mwanamuziki, label za kampuni kubwa za muziki n.k kama ni sahihi au la, hivyo ni ngumu sana mwaka 2016 msanii ''mkubwa'' akajaribu ku-''manipulate'' a.k.a kutumia ''maruhani wa Apps/ teknolojia'' kuongeza views n.k bila ''panga'' la Youtube kumpitia pamoja na ''onyo kali'' pia angalizo zoezi hili la uhakiki YouTube /Google ni endelevu.

Mfano AliKiba yupo na kampuni kubwa ulimwenguni Sony Alikiba Becomes the Second African Artist to Sign a Global Music Deal With Sony Music na Msanii mkubwa kupita wote Tanzania, Diamond Platnumz amesaini Universal Diamond amesainiwa Universal Music Group mwaka huu, hivyo wasanii binafsi kwa kuwatumia hawa wawili kama mfano waliosaini na kampuni kubwa uhakiki hupita kwa msanii binafsi na kampuni iliyomsainisha wakitupia vitu vyao Youtube moja kwa moja au kupitia washirika wao.. Soma zaidi mtandao wa : Fake YouTube Views Cut By 2 Billion As Google Audits Record Companies' Video Channels | The Huffington Post
 
Wasanii siku zote ni wasanii, kila kitu kwao ni sanaa. Suala la kupata views wengi Youtube ni jambo linawezekana kutengenezwa kiujanja ujanja kwa 100%. Ni issue rahisi sana kwa Hackers wengi wa mitandaoni.

Kwa msanii yoyote ambaye anapenda Promo za mitandaoni lazima hii mbinu aitumie tu. Hakuna namna ya kulikwepa.

Maajabu ni kwamba WCB wamepanic kuhusu hili suala lilipoletwa kama mjadala. Wasiwasi wao unatoka wapi kama haliwahusu?
 
Wapi nilipochagua team?
Hivi uyo mnaemshabikia ameweza kuutangaza mziki wake nje ya Tz?
Acheni hizo majungu sio mtu yupo ndani ya game miaka zaid ya kumi hata kufanya show uganda hawezi halaf mnataka kumfananisha na mwenzake anaepiga mziki Africa na sasa anaangalia fursa ulaya uko?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povu la Omo hili
 
Back
Top Bottom