Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusome nn???![]()
Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
Ahahaaaaaah...Kumbe ndiyomaana ndomo na team yake wali-panic sana pale Ommy alivyotoa siri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] povu limekutoka haswaa.Ahahaaaaaah...
Mkuu...
Mtu akiona username yako na hiyo avatar yako kabla ya kuona michango yako humu Jukwaani anaweza sema wewe ni great thinker mmoja wa hatari sana...
Lakini akijakuona michango yako tu,atagundua wewe ni bonge moja la KIAZI..!
[HASHTAG]#UKWELIKUHUSUWEWE[/HASHTAG]
[emoji23] [emoji23] umesema uwaache na ujinga wa kiteam alafu muda huo-huo umechagua team moja.Hizi akili zenu sijui zinafikiria nini?
Ngoja niwaache na ujinga wenu wa ki team, alafu mwambieni king wenu apeleke mziki wake nje ya kko, uyo anaenunua viewers sasa anaangalia soko la ulaya na america,
Sio utani mkuu...[emoji23] [emoji23] [emoji23] povu limekutoka haswaa.
Wapi nilipochagua team?[emoji23] [emoji23] umesema uwaache na ujinga wa kiteam alafu muda huo-huo umechagua team moja.
Hii kitu ndio huwa inanifanya nipokee notification za Youtube video upload ambazo sijawahi subscribe?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povu la Omo hiliWapi nilipochagua team?
Hivi uyo mnaemshabikia ameweza kuutangaza mziki wake nje ya Tz?
Acheni hizo majungu sio mtu yupo ndani ya game miaka zaid ya kumi hata kufanya show uganda hawezi halaf mnataka kumfananisha na mwenzake anaepiga mziki Africa na sasa anaangalia fursa ulaya uko?