Hapa Tanzania mnada umekua ukifanyika pale mtu anapo shindwa kulipa deni.
Kawaida kila mtu anakitu ambacho angependa akiuze kwasababu moja au nyingine. Inaweza ikawa simu, laptop au kitu chochote, iwe ni kipya au kimetumika. Njia nzuri na rahisi ni kukinadi ili watu wakinunue kwa njia ya Ushindani kulingana na uwezo wao ambapo mwenye dau kubwa ndo atashinda.
Hii sasa inawezekana kupitia tovuti ya mnada.co.tz
Unaweza itembelea ujionee ni namna gani utaweza uza bidhaa yako au kushiriki ununuzi kwa njia ya Ushindani (mnada)
Kawaida kila mtu anakitu ambacho angependa akiuze kwasababu moja au nyingine. Inaweza ikawa simu, laptop au kitu chochote, iwe ni kipya au kimetumika. Njia nzuri na rahisi ni kukinadi ili watu wakinunue kwa njia ya Ushindani kulingana na uwezo wao ambapo mwenye dau kubwa ndo atashinda.
Hii sasa inawezekana kupitia tovuti ya mnada.co.tz
Unaweza itembelea ujionee ni namna gani utaweza uza bidhaa yako au kushiriki ununuzi kwa njia ya Ushindani (mnada)