siriusblack
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 218
- 301
Habari zenu wakuu
Kuna mtu anauza kiwanja ambacho hakijapimwa maeneo ya Kigamboni eneo la muongozo - Shirikisho
Tatizo langu kubwa ni kwamba sina jinsi/namna ya kumjua muuzaji au mmiliki halali wa eneo hilo - nilienda mpaka serikali za mitaa na nikakutana na mwenyekiti na amenihakikishia kwamba hao ndo wauzaji halali wa hilo eneo
Hivi katika mazingira kama hayo kwa watu wazoefu wa masuala ya mauziano ya viwanja naweza kuchukua hatua gani zaidi ili nisije kupata matatizo baadaye pamoja na kwamba office ya serikali ya mtaa imehusika
Nahitaji uzoefu kwenye hilo suala
Kuna mtu anauza kiwanja ambacho hakijapimwa maeneo ya Kigamboni eneo la muongozo - Shirikisho
Tatizo langu kubwa ni kwamba sina jinsi/namna ya kumjua muuzaji au mmiliki halali wa eneo hilo - nilienda mpaka serikali za mitaa na nikakutana na mwenyekiti na amenihakikishia kwamba hao ndo wauzaji halali wa hilo eneo
Hivi katika mazingira kama hayo kwa watu wazoefu wa masuala ya mauziano ya viwanja naweza kuchukua hatua gani zaidi ili nisije kupata matatizo baadaye pamoja na kwamba office ya serikali ya mtaa imehusika
Nahitaji uzoefu kwenye hilo suala