Ununuzi wa mikopo

goodfool

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
1,668
Reaction score
994
Ndugu watanzania wenzangu hamjambo?

Naomba kujua kama mtu akiwa na mkopo bank, hasa kwa watumishi, na akahitaji kulipa mkopo wote kwa kweshi au kwa kuuza kwa kampuni nyingine, Je atadaiwa na riba halisi ya muda ambao mkopo ungekoma.

Yani mfano, nimekopa bank abc tsh. 5,800,000/miezi 72, na tayari nimelipa miezi 21, makato 205,000/monthly . Je endapo nitaamua kulipa au kuuza mkopo huu watanikata hadi riba yote ya miaka. 6?

Ahsateni wakuu.

JF home for great thinkers!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwa unalipa riba ya miezi mitatu tu na some amount ya penalty,basi.Riba nyingine yote huwa inafutwa.
 
navyoelewa mkopeshaji ndio anaweza kuuza mkopo wanaita Factory kwa lugha ya finance sasa kwa mdaiwa kuuza ni kitu kiipya nakisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…