Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
My JF Members,
Habari za muda huu!
Naomba mnifahamishe ukweli kuhusu hizi nyumba zinazojengwa na shirika la nyumba la Taifa (NHC) na kuuzwa hasa kwa hapa Dar es salaam bei zao halisi zipoje?
Mfano, mimi nataka nyumba ya ghorofa moja inayojengwa na NHC je itanigharimu kiasi gani kupata hiyo nyumba kulingana na bei zao?
Pia, endapo ni ya kawaida tu (siyo ya ghorofa moja) inagharimu kiasi gani?
NB: Kwa mtu anayefahamu taratibu za hawa NHC ku-book kununua nyumba naomba anifahamishe tafadhali. Pia naomba na website yao maana nawatafuta bila mafanikio.
Natanguliza shukrani zangu kwenu wapendwa.
Habari za muda huu!
Naomba mnifahamishe ukweli kuhusu hizi nyumba zinazojengwa na shirika la nyumba la Taifa (NHC) na kuuzwa hasa kwa hapa Dar es salaam bei zao halisi zipoje?
Mfano, mimi nataka nyumba ya ghorofa moja inayojengwa na NHC je itanigharimu kiasi gani kupata hiyo nyumba kulingana na bei zao?
Pia, endapo ni ya kawaida tu (siyo ya ghorofa moja) inagharimu kiasi gani?
NB: Kwa mtu anayefahamu taratibu za hawa NHC ku-book kununua nyumba naomba anifahamishe tafadhali. Pia naomba na website yao maana nawatafuta bila mafanikio.
Natanguliza shukrani zangu kwenu wapendwa.