Ununuzi wa Umeme Kutoka Ethiopia Sio Viable kabisa

Ununuzi wa Umeme Kutoka Ethiopia Sio Viable kabisa

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
3,151
Reaction score
6,261
Wakuu Tumemsikia Msemaji wa Serikali Ndugu Greyson Msigwa akitoa Uchambuzi Juu ya Serikali kudhamiria Kununua Umeme Kutoka Ethiopia kupitia Kenya.

Msemaji huyo amedai ununuzi huo wa Umeme utaenda Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme kwa Mikoa Ya Kaskazini Yani Arusha Na Kilimanjaro.

Sasa Deep down tunaomba Majibu ya Maswali haya
Kama issue ni Umbali kutoka katika Vyanzo vya uzalishaji Mpaka kwenye Mikoa Inayohusika (Load Centers) je how far from Arusha to Ethiopia? Yani uache kutoa Umeme Chalinze ambapo tayari miundo mbinu ya Bwawa la Mwalimu Nyerere imefika halafu ukanunue Umeme Ethiopia
Kiuchumi tu naona Gharama za Kununua Ethiopia ni Kubwa kwasababu utamlipa Ethiopia na Pia Utamlimpa Kenya Kwa kutumia Miundo Mbinu yake kupitisha hio Nishati

Tanzania ni mwanachama Wa Eastern African Power Pool na Moja Ya aim ya Umoja Huo ni Regional Interconnection kitu ambacho ni kizuri sana Kuunganisha Grid za Nchi tofauti tofauti Just incase mtu akiwa na Scarcity ni rahsi ku import kupitia kwa mwenzake lakini kwa sasa tanzania hatuna hio scarcity na Badala yake Tuna Surplus

Energy security haiwi archievied kwa Kutumia Nishati ya Jirani kwanza kwa Mikoa Potential kama Arusha Kuwa Off grid sio Salama kabisa na Ina Compromise na National Security
Energy security inakuwa archievied kwa Kuwa Na Mix of Energy sources uzalishe kwa Jua, Geothermal upepo na Maji there after ufanye Integration ya izo Sources

Kusema Arusha na Moshi ziwe fed Kupitia Neighbors hio sio Suluhisho la Nishati Kwa kanda izo Ni kuhatarisha Usalama wa Mikoa Iyo mana Energy ni Jambo Sensitive sana
 
Ndio kusema wewe ndio unaakili kuliko Shirika. Umeme unachukuliwa boda ya namanga sio Ethiopia.
CCM itaendelea kutawala hii nchi yote ni kutokana na wananchi kuchukulia kila kitu ni siasa, Hii ni technical issue.
 
Unaweza kuweka nambaz kuprove viability? Au hisia tu na maono ya roho mtakatifuz? Tanesco wamesema wanapata loss ya 32B so we kanusha kwa kuonyesha wanapata faida mkubwa
 
Ndio kusema wewe ndio unaakili kuliko Shirika. Umeme unachukuliwa boda ya namanga sio Ethiopia.
CCM itaendelea kutawala hii nchi yote ni kutokana na wananchi kuchukulia kila kitu ni siasa, Hii ni technical issue.
Ethiopia wamewezaje kusafirisha umeme kutoka kwao hadi kenya na sasa utaingia kaskazini mwa Tanzania bila kupata hasara ambazo sisi tutapata kusafirisha umeme kutoka chalinze hadi kaskazini?
 
Kusema Arusha na Moshi ziwe fed Kupitia Neighbors hio sio Suluhisho la Nishati Kwa kanda izo Ni kuhatarisha Usalama wa Mikoa Iyo mana Energy ni Jambo Sensitive sana
inaonekana wewe ni mgeni jijini.

Umeme kagera unatoka Uganda
Umeme Tanga unatoka Kenya
Umeme Rukwa unatoka Zambia
 
Ndio kusema wewe ndio unaakili kuliko Shirika. Umeme unachukuliwa boda ya namanga sio Ethiopia.
CCM itaendelea kutawala hii nchi yote ni kutokana na wananchi kuchukulia kila kitu ni siasa, Hii ni technical issue

Ndio kusema wewe ndio unaakili kuliko Shirika. Umeme unachukuliwa boda ya namanga sio Ethiopia.
CCM itaendelea kutawala hii nchi yote ni kutokana na wananchi kuchukulia kila kitu ni siasa, Hii ni technical issue.
Umeme utoke Ethiopia mpaka Ufike Kenya bado useme huo Umeme hauna Losses Njiani?
Hio transmission Losses tunayo Ikwepa yakutoka Chalinze mpaka Kilimanjaro au dodoma mpaka singida anabeba nani sasa? Ethiopia au Kenya au Tanzania?

Bado kuna Transmission fee ya Kutumia infrastructures za Ketraco Kenya Ili Umeme ufike hapa!

Halafu unataka Ufanye Importation ya Umeme wakati kwenye Grid yako una ziada(Surplus) iyo ziada unapeleka wapi? Au Utazima baadhi ya Mitambo?
 
Unaweza kuweka nambaz kuprove viability? Au hisia tu na maono ya roho mtakatifuz? Tanesco wamesema wanapata loss ya 32B so we kanusha kwa kuonyesha wanapata faida mkubwa
Sipo kwenye Upande wa Figure kuwa na Actual data! Swali langu je Ethiopia akifanya transmission mpaka hapa Via Kenya je hio transmission Losses nani anaenda Kubeba ni Tanzania au Ethiopia?.

Kuna Speculation kuwa Ethiopia umeme wao ni bei nafuu kwa vile wana dam ina generate nearly 6000MW umeme wa Renewable ni cheap compare na Vyanzo vingine sasa sisi tulikuwa na Haja gani ya Kufanya investment kubwa vile pale mwalimu Nyerere ile hali umeme huo hatuendi kitumia kwa kisingizio cha Kukwepa Transmission losses?

Tuache izo mambo tujenge infrastructures kubwa ambazo zita facilitate Interconnection Nationwide na sio kutegemea Umeme kwa Majirani kiasi kwamba Leo anaweza kuamka akakuambia yeye ana scarcity na hauzi tena Umeme utamlaumu nani?
 
Sipo kwenye Upande wa Figure kuwa na Actual data! Swali langu je Ethiopia akifanya transmission mpaka hapa Via Kenya je hio transmission Losses nani anaenda Kubeba ni Tanzania au Ethiopia?.

Kuna Speculation kuwa Ethiopia umeme wao ni bei nafuu kwa vile wana dam ina generate nearly 6000MW umeme wa Renewable ni cheap compare na Vyanzo vingine sasa sisi tulikuwa na Haja gani ya Kufanya investment kubwa vile pale mwalimu Nyerere ile hali umeme huo hatuendi kitumia kwa kisingizio cha Kukwepa Transmission losses?

Tuache izo mambo tujenge infrastructures kubwa ambazo zita facilitate Interconnection Nationwide na sio kutegemea Umeme kwa Majirani kiasi kwamba Leo anaweza kuamka akakuambia yeye ana scarcity na hauzi tena Umeme utamlaumu nani?

Who cares? Kama hamna fungu la kunufaisha walaji hutaona anazungumza ntu, ukishaona haya ujue kuna lengo kubwa ndani yake, mradi wowote mkubwa bongo ukiona unazungumzwa ujue tayari kuna chakula cha wenye meno!
 
inaonekana wewe ni mgeni jijini.

Umeme kagera unatoka Uganda
Umeme Tanga unatoka Kenya
Umeme Rukwa unatoka Zambia
Umeme wa tanga kiasi gani unatoka Kenya?

Tanga Ana Power plant Mbili Hale 21MW na Pangani new falls 68MW nadhani hii ya hale am not sure kama iko Operational

FYI tanga Ndio Mkoa wa Mwanzo kabisa kuwa Na Power plant ya Hydro na Ni mikoa ya mwanzo mwanzo kupata Umeme ndio mana ilikuwa na Viwanda sana

Tanga pia Anasafirisha umeme Kwa njia ya bahari kwa kutumia (marine cable) hadi Zanzibar

Ivo Majority ya Umeme wa kaskazi unaotumika Tanga naye ni key player upande wa Generation Ivo kusema tanga anatumia Umeme wa Kenya ni Uongo na Kenya mwenyewe umeme Alio nao hautoshi
Tanga Iko Connected Kwenye Grid for years

Panaweza kuwa na wananchi wachache sana au Vijiji vichache sana ambayo Vimechukua Umeme kidogo sana Kutokea Mombasa lakini huwezi ku conclude eti giant kama tanga anatumia Umeme wa Kenya huo ni Uongo
 
Ndio kusema wewe ndio unaakili kuliko Shirika. Umeme unachukuliwa boda ya namanga sio Ethiopia.
CCM itaendelea kutawala hii nchi yote ni kutokana na wananchi kuchukulia kila kitu ni siasa, Hii ni technical issue.
Umemsoma vizuri lakini, ana point za mashiko sana. Anachosema kama tutanunua umeme toka katika mitambo ya Grand Ethiopian Renaissance dam, huo umeme utakuwa umetoka mbali sana ukilinganisha na wa Mwalimu Nyerere ambao watau chukulia hapo Chalinze. Na huenda kukawepo na malipo ya ziada kuwalipa KenGen kwa kutumia miundo mbinu yao.
 
Umemsoma vizuri lakini, ana point za mashiko sana. Anachosema kama tutanunua umeme toka katika mitambo ya Grand Ethiopian Renaissance dam, huo umeme utakuwa umetoka mbali sana ukilinganisha na wa Mwalimu Nyerere ambao watau chukulia hapo Chalinze. Na huenda kukawepo na malipo ya ziada kuwalipa KenGen kwa kutumia miundo mbinu yao.
Swali kubwa ni why they did a large investment in Mwalimu Nyerere Dam wakati hawana uwezo wa kuwafikishia Wateja wao umeme ule eti kwa kuhofia kupata hasara wa upotevu wa umeme kutokana na umbali??
 
Swali kubwa ni why they did a large investment in Mwalimu Nyerere Dam wakati hawana uwezo wa kuwafikishia Wateja wao umeme ule eti kwa kuhofia kupata hasara wa upotevu wa umeme kutokana na umbali??
mkuu hawa viongozi wa sasa hawana uwezo wa kufanya maamuzi magumu ni waoga na wabinafsi hasa kama hilo jambo haliingizi chochote kwenye matumbo yao ndio kabisa sahau ..kazi za kujitoa muhanga kwa uthubutu na mambo yakatik vyema aliweza magufuli tu..
 
Swali kubwa ni why they did a large investment in Mwalimu Nyerere Dam wakati hawana uwezo wa kuwafikishia Wateja wao umeme ule eti kwa kuhofia kupata hasara wa upotevu wa umeme kutokana na umbali??
If that was your principal concern then, three of us we are speaking the same language. Together we stand. Thank you so much.
 
Back
Top Bottom