HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Nenda mahakamani kafungue kesiWatulipe fidia...samaki wangu tani mbili wameharibika...plus usumbufu kwangu na wateja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda mahakamani kafungue kesiWatulipe fidia...samaki wangu tani mbili wameharibika...plus usumbufu kwangu na wateja.
AnajitiaMkuu una uwezo wa kua na samaki tani mbili ila huna uwezo wa kua na jenereta? Niajiri nisimamie biashara yako.
hivi wewe huwa unaongea lugha gani..Habari nzuri..
Wale walisema midomo.. siku 10 ziliwafaa..munatia aibu.. kuna maeneo ya ujuzi hamujui mupigege kinywa kimya..
Uchunguzi muhimu wa ndani kwa ndani..
Pesa nyingi imepotea kwa wananchi kwenye yao.. ndani ya siku hizi..
Kazi iendeleee...
JF inazidi kunogile.. awamu hii..
Njia la LUKU ndio ipi?Habari wakuu kutokana na kuwepo kwa tatizo la ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku lililo tokea kuanzia tarehe 17/05/2021.
Shirika la umeme TANESCO limesema sasa huduma ya ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku imerejea Tanzania nzima hivyo kwa sasa unaweza Nunua umeme kwa njia zote za awali yaani Simu, Benki au ofisini TANESCO.
Shirika liliomba Radhi hapo Awali.
wangetoa unit hata 10 kwa wateja wao wote japo ndogo lakini inatosha kuombea msamaha maana kuna watu wamechoma mafuta kuna watu wametumia gharama kutafuta luku wangefanya kitu kwa wateja wote free units kidogo kwa wateja wote.
😃😃😃
Nijuze or nikujuze kikwetu?hivi wewe huwa unaongea lugha gani..
Umeme niliokuwa nao ulinunuliwa Tangu mwezi wa nne.Hivi kwa nini msiwe mnanunua umeme wa mwezi mzima?
hata PM unaongea hivihivi....maana sijawahi kukuelewa..😃😃😃
Hadi mwaka huu.. bado una gesia.. mmmh!!!
hapahapa au PM mama..Nijuze or nikujuze kikwetu?
Lini mimi kuPM wewe!!.. tuliza boli usipumzishwe humu..hata PM unaongea hivihivi....maana sijawahi kukuelewa..
hahaah kumbe unaweza kunyoosha maelezo.....ngoja nikufollow..Lini mimi kuPM wewe!!.. tuliza boli usipumzishwe humu..
Taraji p henson umerudi kwangu nguvu zote jfHabari nzuri..
Wale walisema midomo.. siku 10 ziliwafaa..munatia aibu.. kuna maeneo ya ujuzi hamujui mupigege kinywa kimya..
Uchunguzi muhimu wa ndani kwa ndani..
Pesa nyingi imepotea kwa wananchi kwenye yao.. ndani ya siku hizi..
Kazi iendeleee...
JF inazidi kunogile.. awamu hii..
😃😃😃Taraji p henson umerudi kwangu nguvu zote jf
Hongera mama😃😃😃
Msimu wangu tena.. halafu unabajuwa.. nitatulia kusoma..
Waswahili wanasema Kama hujui unapokwenda basi hapo ulipo hujapotea, tusonge mbeleAnayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea