Ushauri ni kama ifuatavyo
angalia kama kweli huna mimba then nenda kacheki BRT, Unaweza kuwa na iron deficiency anemia
sin uhakika saana maana hiyo ni dalili ambayo haijitosherezi.
so nenda hospitali
Nenda kapime....Alafu inawezekana una minyoo!Rodcones
Nashukuru, kwa ushauri. I hate going to the hospital, but I guess I have to..........:A S cry:, if say I start taking
Iron supplements, will that be harmful if Iron deficiency turn out to be not the issue?
Hiyo ni moja ya dalili zake???Mi nilishtukia tu siku moja nimepata kizunguzungu cha ajabu....Ushauri ni kama ifuatavyo
angalia kama kweli huna mimba then nenda kacheki BRT, Unaweza kuwa na iron deficiency anemia
sin uhakika saana maana hiyo ni dalili ambayo haijitosherezi.
so nenda hospitali
Salaam wana JF. Recently nimekuwa nikitamani sana kula udongo.Since I am not pregnant, I was wondering if it's something that I should be concerned about and/or need to seek medical advise for.
NOTE:
1. Sometimes these cravings are so intense, to the extent
that inabidi nichovye kidole ardhini,every now and then nilambe
:A S-baby::bange:Speaker
It seems like u did not have anything useful to add regarding the topic, or did you???
heri yako unatamani,mwenzio nakula almost kila wiki,sina mimba wala iron deficiency....na nakunywa supplement na dawa za minyoo kila mwezi,sijui ni kwanini kwa kweli? na ofisini kwetu tuko kama wanne tunakula udongo,yaani wikiendi tunaaagizana kabisa,ukienda sehemu fulani uje na udongo.....ngoja leo nipate suluhisho!!
Ni kweli?? Au unaleta mzaha?Usiache kula udongo, nasikia inasaidia ubongo na misuli ya ulimi kunata na maneno hasa ya kizungu. We huoni ulivyo juu kwa Ngeli?
heri yako unatamani,mwenzio nakula almost kila wiki,sina mimba wala iron deficiency....na nakunywa supplement na dawa za minyoo kila mwezi,sijui ni kwanini kwa kweli? na ofisini kwetu tuko kama wanne tunakula udongo,yaani wikiendi tunaaagizana kabisa,ukienda sehemu fulani uje na udongo.....ngoja leo nipate suluhisho!!
heri yako unatamani,mwenzio nakula almost kila wiki,sina mimba wala iron deficiency....na nakunywa supplement na dawa za minyoo kila mwezi,sijui ni kwanini kwa kweli? na ofisini kwetu tuko kama wanne tunakula udongo,yaani wikiendi tunaaagizana kabisa,ukienda sehemu fulani uje na udongo.....ngoja leo nipate suluhisho!!
mi nikishaga onaga izi mixing akili yangu huingiliwa virus!! hapo memory na mtindio woote wa ubongo wangu uvurugika! sipendi na sitokaa nipende !!!!mimi najua kiswahili tu,kama wewe ni mzungu andika kizungu mwanzo mwishohuku kuchanganya lugha kuna nichefua