Unyakuo u karibu, nimemwona King Jesus mawinguni amepanda farasi mweupe akiwa na jeshi kubwa la Malaika na Watakatifu

Unyakuo u karibu, nimemwona King Jesus mawinguni amepanda farasi mweupe akiwa na jeshi kubwa la Malaika na Watakatifu

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam,Shalom!!

Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni.

Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.

Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.

.......Mwisho wa taarifa......

Source: Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.

(Waraka wa Yuda 1:14)
Na Henoko, mtu wa Saba baada ya Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja pamoja na WATAKATIFU wake, maelfu elfu. Ili afanye HUKUMU juu ya watu wote.

Ufunuo wa Yohana 14:1-5,

1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.

Ufunuo wa Yohana 19:11-16.

11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.

12:Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.

13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.

14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.

15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.

Karibu katika familia ya Mungu 🙏
 
Huenda una njaa wewe, nenda kale chakula kwanza na kisha ulale usingizi, ukiamka nenda kachape injili kokote unakohisi bado hawajaisikia na kuiamini injili. Hilo uliloliona (kama kweli) basi ni wenge tu.

Nje ya mada.
Yesu atarudi, na akirudi kila jicho litamuona akitokea mawinguni. Haitakuwa siri ya watu fulani fulani wachache.
 
Kwa Namna mambo yalivyo magumu Bora arudi tu! Twende kwenye makao ya milele!

Things are tough ... Kutunza vazi la wokovu kutochafuka si kazi nyepesi!

Yesu urudi! Nipe neema yako kuwa sehemu ya kuvuna nafsi nyingi ili waweze kurithi UFALME wako

Japo nahisi kukata tamaa! Ila nampenda Kristo
 
Salaam,Shalom!!

Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,

Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.

Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.

..... Mwisho wa taarifa......


Source:Niliyoyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.

Ufunuo wa Yohana 14:1-5,
Ufunuo wa Yohana 19:12.

Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.

Karibu katika familia ya Mungu 🙏
Kuna movie nyingine inaitwa Gods of Egypt icheki na hyo
 
Kombolewa.....

Kombooooleewaa nakombolewaa na damu ya Yesu uuh kombooooleewaa

Naaaa nimekuwa mtoto wake..,.,.

Kombooooleewaa

Kombooooleewaa nakombolewaa na damu ya Yesu uuh
Kombooleeewaa naaaah nimekuwa mtoto wake!
 
Salaam,Shalom!!

Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,

Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.

Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.

..... Mwisho wa taarifa......


Source:Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.

Ufunuo wa Yohana 14:1-5,

1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.


Ufunuo wa Yohana 19:11-16.

11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.

12:Na macho yake yalikuwa kama mwalimu wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.

13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.

14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.

15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chumba, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.

Karibu katika familia ya Mungu 🙏
Umekula usiku huu mdau usikute njaa iyo
 
Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.
Kuna milioni 100 zinagawiwa huko kama utaeleweka
 
Salaam,Shalom!!

Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,

Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.

Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.

..... Mwisho wa taarifa......


Source:Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.

(Waraka wa Yuda 1:14)
Na Henoko, mtu wa Saba baada ya Adamu, aliutoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja pamoja na WATAKATIFU wake, maelfu elfu. Ili afanye HUKUMU juu ya watu wote.

Ufunuo wa Yohana 14:1-5,

1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.


Ufunuo wa Yohana 19:11-16.

11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.

12:Na macho yake yalikuwa kama mwalimu wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.

13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.

14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.

15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chumba, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.

Karibu katika familia ya Mungu 🙏
#Mnaanza hivi hivi kutapeli watu
 
Salaam,Shalom!!

Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,

Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.

Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.

..... Mwisho wa taarifa......


Source:Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.

(Waraka wa Yuda 1:14)
Na Henoko, mtu wa Saba baada ya Adamu, aliutoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja pamoja na WATAKATIFU wake, maelfu elfu. Ili afanye HUKUMU juu ya watu wote.

Ufunuo wa Yohana 14:1-5,

1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.


Ufunuo wa Yohana 19:11-16.

11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.

12:Na macho yake yalikuwa kama mwalimu wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.

13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.

14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.

15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chumba, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.

16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.

Karibu katika familia ya Mungu 🙏
HAYA TUAMBIE UKO WAPI KWENYE BIBLIA?
 
Huenda una njaa wewe, nenda kale chakula kwanza na kisha ulale usingizi, ukiamka nenda kachape injili kokote unakohisi bado hawajaisikia na kuiamini injili. Hilo uliloliona (kama kweli) basi ni wenge tu.

Nje ya mada.
Yesu atarudi, na akirudi kila jicho litamuona akitokea mawinguni. Haitakuwa siri ya watu fulani fulani wachache.
Soma (Waraka wa Yuda 1:14)

BWANA alikuja pamoja na WATAKATIFU wake maelfu elfu.

Ndipo ujue,

Kabla ya siku ya HUKUMU Kwa watakaokuwa wapo duniani,

Tayari WATAKATIFU watakuwa Mbinguni tayari.

Kuanzia Yesu alipofufuka, wafao katika Kristo, hawakai kusubiri kaburini, huenda Mbinguni direct.

Na ndio hao WATAKATIFU watakao kuja na YESU kuungana na walionyakuliwa kufurahi karamu ya miaka elfu huku duniani walioachwa wakipitia taabu na mateso.

Baada ya miaka elfu kwisha,

Ndipo Yesu atakuja na WATAKATIFU kupigana na waovu waliomkataa duniani, na baada ya kuwashinda, atawahukumu, na ujue WATAKATIFU waliokuja na Yesu na wale aliowanyakua na wengine aliowafufua baada ya dhiki kuu, hawatahukumiwa. Husomi maandiko kuwa, ni nani atakayewahukumu WATAKATIFU wa Mungu? Husomi kuwa wanafunzi wa Yesu 12 na WATAKATIFU watahukumu waovu pamoja na Kristo?

Na hapo ndipo Kila jicho litamwona Kwa Walio duniani walioachwa baada ya Unyakuo.

Wapo watakaookoka katika dhiki hiyo kuu ambao watamlaki Yesu mawinguni na watafufuka waliokufa katika Yesu wakati wa dhiki kuu baada ya Unyakuo.

Soma Kwa ufahamu na mwongozo wa Roho mtakatifu uelewe BIBLIA.
 
Back
Top Bottom